mtweka
Member
- Jul 12, 2018
- 40
- 31
Wapi dunia imealibika?utazaliwa utakufa watu wanaendeleza mwendoUpo sahihi mtu wangu.. nafikiri kwa Tanzania kuzaa watoto wawili inatosha coz dunia imeshaharibika now days kuzaa watoto wengi ni kujitafutia majanga tu... ila wanawake wengi hawana elimu ya uzazi wa mpango, tamaa zinawafanya kupanua tu mapaja bila kutumia akili mwisho wa siku tunakuwa na watoto wengi bila mpangilio na kuzalisha mapanya road, makahaba, mashoga, matapeli na wajinga wengi ambao hawana faida kwa taifa.. kiasi ni bora kuliko wingi usio na faida.