Sidhani kama jamaa anatishia mtu. Kwani ha bb si watu tunaoishi nao mitaani, au wanatoka sayari gani? Watu wanawafahamu ns ndio maana wanasema. Watu mnatahadharishwa na bado mnaleta masihara na kufanya mioyo kuwa migumu. Ashupazaye shingo..............!!!Hahahahah....wewe Wacha kuwatisha wenzako.
Hivi kulipia na uhalifu vina uhusiano gani. Mhalifu atashindwa kulipa kiingilio anapokuwa ana dhamira yake ovu? Kama ni kuingizia serikali mapato tu nitawaelewa, ila kwa issue ya usalama si kweli. coz sidhani kama kuna beach yoyote hapa TZ ina askari wengi kama Coco na bado uhalifu unaendelea. Sasa hapo tatizo ni wananchi au hivyo vyombo vya usalama?Hapo sawa lakini kuhusu serikali kuzuia ubakaji hiyo naona tunaitwisha tu mzigo. Kuwa ya kulipia naona ni wazo zuri
So, yanawakuta waathirika ni chadema au watanzania?Hili eneo yusuf manji alitaka kuwekeza pesa za maana pangekuwa kama mamtoni, yaani kama miami beach,
machadema na Lissu wao wakaleta mtimanyongo, haya sasa yanawakuta,
Pole sana! Ubakaji ni kosa la jinai na hapa sina nia ya kuwatetea wanaofanya hivyo! Sijui unataka serikali ifanyaje sasa,iwe inaogelea na nyie mnapofundishwa au iwaondoe hao vijana hapo! Kama wataondolewa manake hapatakuwa na watu wa kufundisha kuogelea hapo na kwahiyo itabidi wanaotaka kujifunza watafute namna nyingine salama na inayoeleweka ya kujifunzia. Nadhani inabidi ninyi mnaojipeleka kwa hao vijana mtafute sehemu zingine za kujifunzia tofauti na huko baharini. Vinginevyo kaendeleeni kubakwa tu manake hamna akiliNikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.
Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.
Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.
Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.
Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.
Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.
Hahaha kufanywa kwao ni kawaida, labda useme hawampendi mfanyaji. Ukiwauliza wao watakwambia ukweli, hapo tatizo ni magonjwa yatokanayo na tendo hilo ila sio tendo.Kuna watu humu wanamuhusudu sana makonda kua ndio solution ya hilo
"Eti makonda akiskia atawanyorosha" unazani hafahamu lolote hiyo situation hawezi kuizuia huyo bwana maana wale jamaa ni competent vibaya mno
Wapuuzi ni wanawake acha waendelee kufanywa
Nikiwa kama mdada mwenye uchungu na suala la kufanya mapenzi na mtu usietegemea nimeona nililete hili suala hapa.
Kule Coco Beach kuna wakaka huwa wanakodisha maboya ya kuogelea. Ukienda kukodi wanakuambia tukufundishe kuogelea, ukikubali wanakupeleka katikati ya kina cha maji ambapo unakuwa huwezi kukataa jambo lolote maana hujui kuogelea na akikuachia huwezi kumudu hayo mawimbi ya maji, basi hukulazimisha kufanya mapenzi bila hiari yako.
Unafanya naye mapenzi na kama tunavyojua kubakwa ni kitendo cha aibu huwezi kusema kokote zaidi ya kuugulia maumivu moyoni. Mbaya zaidi huwa hawavai mpira wanakufanya kavu kitendo ambacho kupata mimba au UKIMWI ni rahisi. Ni kitendo cha dakika tano lakini kinaweza kikakugharimu maisha yako yoote.
Jumamosi moja jirani yetu aligundua binti yake ana dalili za kuumwa, akampeleka hospitali akagundua ana ugonjwa wa zinaa. Jirani yule aliumia saana akaamua kuniita ili nimsaidie kumhoji binti yule kuwa imekuwaje kapata huo ugonjwa wa zinaa na binti ni mdogo yuko form three tuu shule moja hivi naihifadhi, ndipo akatupa mkasa uliompata kuwa ni vijana wanaokodisha matairi kuwa ndio waliomfanyia unyama huo.
Na mimi nikaona kabla sijaandika humu nikaona ni bora nikashuhudie nikaenda pale nikakodi mpira kijana akanisihi anifundishe ili nijue kuogelea. Tukaanza safari ya kuogelea kufika sehemu penye maji mengi nikaona yule kaka macho yameanza kuwa mekundu, mdudu ushaanza kusimama na ananilazimisha kunipeleka mbaali. Nikaanza kuvutana naye kwamba siwezi kuendelea mbele hapa pametosha. Kwa kuwa hakukuwa mbali saana na watu wako karibu na mimi ninaongea kwa sauti kubwa ndipo akaamua kunirudisha kwa kudai kuwa ni muoga tuu na siwezi kuyazoea maji.
Ombi langu kwa serikali: Kuna haja ya kuwasaidia wadada juu ya kadhia hii maana wengine hawawezi kusema na ni wake za watu wanaishia tuu kunyamaza na maumivu makali.
Tatizo la polisi kanzu wa pale concentration yao sana ipo kwenye magari ya watu binafsi maana wanajua humo ndo watu wanafanya ufuska sana, huko kwengine kama wanapapotezea.Coco beach polisi wamejaa kila kona tatizo mkibakwa hamripoti sasa mnataka serikali iwasaidie vipi?
Ushauri wangu usikubari kuingia kwenye maji na mtu usiyemfahamu na kumwamini maji ni kitu kingine hata akitaka tigo utampa tu nini k!
Kumbe unatoa helaa ufundishwe ilii upigwe na mkurukumba..!! Ha ha..daahHufundishwi bure. Unalipia boya, then unaulizwa kama unataka kuogelea mwenyewe or usaidiwe. Na kwa vile hujui kuogelea na pia hujui dhamira yao, unawakubalia tu wakusaidie since unahitaji kuogelea. Knachohitajika hapa ni awareness creation na mamlaka zijitambue
Ninyi watu wa ajabu.Pole sana dada'ngu. Mimi ni mkazi karibu kabisa na hapo Coco Beach. Hawa jamaa tunawafahamu kwa sura mpaka majina. Hata askari hapo wa doria hilo eneo wanafahamu kinachoendelea. Nathubutu kusema wanapuuzia tu. Huwa wanakamata wale watu wanaofanya mapenzi kwenye magari na kule mapangoni karibu na upande wa Police Mess coz huwa wanahongwa na wakamatwaji
Huu ubakaji huwa unafanyika zaidi nyakati za asubuhi (midday) mpaka mida ya saa 10 jioni watu wanapoanza kujaa then wanaacha coz watu wanakuwa wengi sana. Mwaka 2013 nilishachunguza kwa kuwazoea na kuwa nakaa nao kwenye 1 ya vibanda vyao (coz kama sio 1 wao hawakuruhusu ukae nao muda mrefu) na huwa wanapigiana stori ya kila baada ya tukio wanalofanya (kuelezea mwanamke yukoje, ana ladha gani, alimlazimishaje mpaka akakubali n.k).
Ni kweli kama anavyosema huyu dada, kuwa wakimaliza huwa wanachukua tu nguo zao (coz huziacha vibandani kwenye mifuko wakiingia kwenye maji) na kujiondokea na maumivu moyoni na mwilini. Mabinti wadogo ndio huwa waathirika zaidi coz wao ndio huwa wanapendwa zaidi na ni rahisi zaidi kutishiwa.
Mamlaka husika zichukue hatua kali za kisheria, la sivyo mimba za utotoni, wanafunzi na kuenea kwa maradhi hakutaacha kuisha. Watu waache kutoa comments za kejeli hasa kwenye mambo ya msingi kama haya. Kuna kesho, unaweza kukuta ni mkeo or dada yako or hata g/f wako amefanyiwa hivi. Mwisho wa siku kama ni maradhi ukaletewa ndani ya nyumba.
Naomba kuwasilisha