Serikali iharakishe Operation Kimbunga Wrusha kabla mambo hayajaharibika

Serikali iharakishe Operation Kimbunga Wrusha kabla mambo hayajaharibika

Sengeon

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
529
Reaction score
113
Mji wa Arusha umekuwa kitovu cha wahamiaji haramu wenye asili ya kisomali.

Wengi wa wasomali hawa wamekuwa wakifikia kwenye famiia zenye asili ya Somalia.

Kwa utafiti nilioufanya wasomali hao wamekuwa wakifichwa ndani ya familia hizo kwa muda wa miezi sita au zaidi huku wakifundishwa kuzungumza lugha ya kiswahili kwa ufasaha. Baada ya kufahamu lugha vizuri huwa wanawatafutia vitambulisho vya mkazi na kujenga nyumba kwenye makazi tofauti na yale ya mwanzo na kuendelea na maisha kama mtanzania wa kawaida. Kitovu kikubwa cha kuhifadhi raia hao ni Ngaramtoni ya juu na Ar mjini.

Siku moja rafiki yangu kutoka Ngarmtoni alininiambia kuwa kuna ndugu yake ambaye ni mlinzi huko ngaramtoni amekuwa akiwaona watu wenye asili ya kisomali wakienda msikitini kusali kila siku saa kumi na moja alfajiri lakini saa ya kutoka wamekuwa wakija kuchukuliwa na Gari aina ya noah yenye vioo vyeusi hali iliyomtia mashaka.

Rai yangu kwa serikali:
Ninaomba wachukue hatua za haraka kwani hawa watu wanaweza kutuletea balaa kubwa sana ikiwemo swala la ugaidi. Wanawake wa kisomali ni rahisi kutembea popote bila kugundulika kwani wamekuwa wakivaa mavazi ya kufunika uso maarufu kwa jina la ninja.

Serikali ifanye haraka sana Operation Kimbunga Ar ili Tanzania na watu wake wabaki salama.
 
mkuu.....sasa hivi hakuna muda wa kusubiri serikali ichukue hatua........kama umefuatilia swala la Nairobi nadhani utakuwa wa kwanza kushtaki pale unapoona huelewi elewi.........kama vipi.....toa direction ya wapi hao wasomali wanaonekana hatua zifuatwe.......JF tunao kila aina ya watu......so mwaga data.........na ukiona niajeniaje....niPM......
 
Naafikiri kuna haja ya wananchi kuhamasika kushiriki vikundi vya polisi jamii/ ulinzi shirikishi. Watu kama hawa wanapaswa kutiwa mbaroni huo muda wanapoenda mskitini. Operation kimbunga haiwezi kumkamata ndugu yake Kinana.
 
Mkuu kuwa wa kwanza kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola serikali pekee haitaweza tuipe ushirikiano.
 
mkuu.....sasa hivi hakuna muda wa kusubiri serikali ichukue hatua........kama umefuatilia swala la Nairobi nadhani utakuwa wa kwanza kushtaki pale unapoona huelewi elewi.........kama vipi.....toa direction ya wapi hao wasomali wanaonekana hatua zifuatwe.......JF tunao kila aina ya watu......so mwaga data.........na ukiona niajeniaje....niPM......


Mkuu umeteka mawazo yangu! Heko sana.

Copy kwa olosokwa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umeteka mawazo yangu! Heko sana.

Copy kwa olosokwa

mkuu....bila kuanza wewe na mimi.....tutakuwa tunamsubiri nani aanze......jua Arusha ni moja ya targets zao........sasa niambie....kikinuka....itakuwaje....?....unajua sipati picha.....?.....yaani nikimuona hata ndugu yake nani sijui katoka huko Hargaisa.......navuta waya.....wacha tuonane wabaya..........
 
humu wapo watu wa kila aina..mwaga data maafisa uhamiaj na polis wajue wanaanzia wapi ikiwemo mahalli ulipo msikiti..nawasilisha.
 
mkuu.....sasa hivi hakuna muda wa kusubiri serikali ichukue hatua........kama umefuatilia swala la Nairobi nadhani utakuwa wa kwanza kushtaki pale unapoona huelewi elewi.........kama vipi.....toa direction ya wapi hao wasomali wanaonekana hatua zifuatwe.......JF tunao kila aina ya watu......so mwaga data.........na ukiona niajeniaje....niPM......

Nitamfuatilia huyo jamaa na huyo mlinzi nipate kujua wanaingia msikiti Gani ili niweze kutoa habari isiyokuwa na chenga mkuu. Lkn Serikali yetu huwa inakuwa na maamuzi mlenda pale inapopewa taarifa. Nilishawahi kutoa taarifa ya jinsi Mirungi inavyo inngizwa Ar na nani anaingiza na akishirikiana na nani lkn hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa. Ila kwa hili nitajitahidi na nitaweka habari hapa haraka.
 
maaa weee! wanapga doria hao! wana2la kiunguon mwe2. waache kuvaa kninja
 
Ebana Acheni chokochoko shauri yenu jamaa wanaweza wakavamia mikusanyiko ya mbio za Mwenge wakatuletea Balaa!
 
AchA uongo mimi naishi ngaramtoni ya juu na asubui hua naenda kusali. Mbona husemi kuhusu bangi na mirungi kuuzwa hadharani?
 
hapo nakuunga mkono but serikali yetu unaweza wapa taarifa na wasifanye chochote hapa serengeti fourseason wapo wazungu zaidi ya 30 wapo hawana vitambulisho vya kufanya kazi hapa tumeshatoa tarifa kila mahali hakuna ufuatiliaji. zaidi wanakuja wakuu wa nchi kula raha na kuondoka
 
Ifike mahali taarifa zinazoletwa na members wa humu JF kama zina maslahi ya taifa zifuatiliwe haraka.

Kuna wakati upande wa JWTZ walijitokeza kuongelea habari zilizoletwa na member mwenzetu, why not Jeshi La Polisi na TISS? Msidharau twajua mnasoma!!
 
Ifike mahali taarifa zinazoletwa na members wa humu JF kama zina maslahi ya taifa zifuatiliwe haraka.

Kuna wakati upande wa JWTZ walijitokeza kuongelea habari zilizoletwa na member mwenzetu, why not Jeshi La Polisi na TISS? Msidharau twajua mnasoma!!

Ahsante mkuu kama wamekusikia itakuwa vizuri.
 
Back
Top Bottom