Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Serikali chini ya mama Ndalichako ilisema january mtaangalia swala la ada elekezi kwa shule za private. Swala hili kwa ndalichakoo limekuwa gumu inapoonekana hata kuwakamata wahusika ni shida achilia kukaa na kuwadanganya wananchi bungeni kutangaza ada elekezi
Mh mama Prof Ndalichako Watu wanapenda kusomesha wananfunzi huku kwetu shidakubwa wakenya waganda wamekuja Tz nakutumia watz kupiga wananchi
Kuna shule inaitwa kilimani sec school ukweli mlisema mihula. Mitatu.. Hiishule ina mihula minne live nahata mkienda kuwavamia "leo hii wawape mi mihula yao n aibu
Shule ilikuwa chini ya mkenya waliposhtuka ufwatiliaji wamewaweka watz kama ganje lakini jambo lakushangaza mtoto wa la kwanza analipiwa mil 1,8 , nimewahamisha watoto kabisa
Waziri wa elimu kaangalie hili usome nyakati wajanja wanakomaa na kula hela za wananchi mmesema mihula mitatu ushenzi mtupu
Mh mama Prof Ndalichako Watu wanapenda kusomesha wananfunzi huku kwetu shidakubwa wakenya waganda wamekuja Tz nakutumia watz kupiga wananchi
Kuna shule inaitwa kilimani sec school ukweli mlisema mihula. Mitatu.. Hiishule ina mihula minne live nahata mkienda kuwavamia "leo hii wawape mi mihula yao n aibu
Shule ilikuwa chini ya mkenya waliposhtuka ufwatiliaji wamewaweka watz kama ganje lakini jambo lakushangaza mtoto wa la kwanza analipiwa mil 1,8 , nimewahamisha watoto kabisa
Waziri wa elimu kaangalie hili usome nyakati wajanja wanakomaa na kula hela za wananchi mmesema mihula mitatu ushenzi mtupu