TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,594
- 20,753
Baada ya kufungwa kwa maduka maarufu yanayojulikana kama Bureau de Change nchini, huduma ya kubadirisha fedha imepewa nguvu na watoa huduma za kibenki kwa sasa.
Kwa utaratibu uliozoeleka hapa nchini kama si duniani, benki nyingi zinafanya kazi siku 5-6 kwa siku ukiondoka siku ya jumapili ambayo ni siku ya mapumziko.
Katika sehemu kadhaa nilizopita au kufika nimeona huwezi kupata huduma ya kubadirisha pesa za kigeni kupata Tshs kwa siku za mwishoni mwa juma kutokana na benki nyingi kufunga huduma.
Kwa jinsi dunia inavyosonga siyo vibaya kuweka dirisha maalumu kwa siku za mwisho wa wiki, vinginevyo benki na serikali mtakosa fedha hii kwa kiasi kikubwa ikizingatiwa mwisho wa wiki matumizi ya pesa huwa maradufu.
Serikali na watoa huduma za kibenki mliangalie hili na Ikiwezekana ziwekwe ATM za kuweza kufanya muhamala wa kubadirisha fedha.
Kwa utaratibu uliozoeleka hapa nchini kama si duniani, benki nyingi zinafanya kazi siku 5-6 kwa siku ukiondoka siku ya jumapili ambayo ni siku ya mapumziko.
Katika sehemu kadhaa nilizopita au kufika nimeona huwezi kupata huduma ya kubadirisha pesa za kigeni kupata Tshs kwa siku za mwishoni mwa juma kutokana na benki nyingi kufunga huduma.
Kwa jinsi dunia inavyosonga siyo vibaya kuweka dirisha maalumu kwa siku za mwisho wa wiki, vinginevyo benki na serikali mtakosa fedha hii kwa kiasi kikubwa ikizingatiwa mwisho wa wiki matumizi ya pesa huwa maradufu.
Serikali na watoa huduma za kibenki mliangalie hili na Ikiwezekana ziwekwe ATM za kuweza kufanya muhamala wa kubadirisha fedha.