mafwitanda
Member
- Jul 10, 2016
- 58
- 29
Elimu bure inaigharimu sana serikali. Kila mwezi serikali inagharimia tsh bil 18 kwa shule zote za serikali. Hii ni gharama kubwa na inawezekana baadhi ya mambo hapa nchini hayaendi kama vile ajira mpya kwa walimu; kupanda madaraja, nyongeza ya mishahara na boom kutofika kwa wakati.
Ushauri kwa mujibu wa Plato na wanafalsafa wengi wanasisitiza elimu sharti ichangiwe ili wanafunzi na wazazi waone uthamani wa elimu.
Pili ni vema serikali iachane na zoezi hili la elimu bure kama walivoacha ada elekezi kwa shule binafsi.
Tatu, ili kuongeza mapato serikali ianzishe mgodi wa kuchimba madini unomilikiwa na serikali kama serikali za kikoloni zilivoanzisha mashamba ya serikali za kikoloni wakati wa mdororo wa uchumi 1929-1933.
Karibuni kwa michango.
Ushauri kwa mujibu wa Plato na wanafalsafa wengi wanasisitiza elimu sharti ichangiwe ili wanafunzi na wazazi waone uthamani wa elimu.
Pili ni vema serikali iachane na zoezi hili la elimu bure kama walivoacha ada elekezi kwa shule binafsi.
Tatu, ili kuongeza mapato serikali ianzishe mgodi wa kuchimba madini unomilikiwa na serikali kama serikali za kikoloni zilivoanzisha mashamba ya serikali za kikoloni wakati wa mdororo wa uchumi 1929-1933.
Karibuni kwa michango.