Serikali: Hali ya Umasikini imepungua nchini

Faith Luvanga

Member
Aug 21, 2018
14
15
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya mwaka 2020 inayoangazia hali ya utekelezaji wa Serikali ya awamu ya tano(2015-2020) katika sekta mbalimbali, Imeangazia hali ya Umasikini nchini Tanzania kuanzia mwaka 1991-2020, ambapo imeainisha hali umasikini wa mahitaji ya msingi kwa kupangilia kulingana na awamu tano za marais walioongoza nchi kuanzia mwaka 1964 -2020.

Awamu ya kwanza (1964-1985) Chini ya utawala wa Mwal.Julius Kambarage Nyerere, hakukua na Takwimu zozote, mwaka (1985-1995) chini ya utawala wa Rais Benjamin Mkapa umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 39%, huku awamu ya tatu (1995-2005) hali hiyo ilikua 36%, sawa na kusema kwamba kiwango cha umasikini wa mahitaji ya msingi ilipungua kwa 3%.

Awamu ya nne(2005-2015) chini ya Rais Jakaya Kikwete umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 28% ambapo hali hii ilipungua kwa 8% ukilinganisha na awamu ya tatu. Awamu ya tano (2015-2020), umaskini wa mahitaji ya msingi ni 26.4% ambapo hali hii imeshuka kwa 1.6% ukilinganisha na ile ya awamu ya nne.

Aidha ripoti hiyo imeangazia hali ya umasikini wa kipato kwa baadhi ya nchi za Afrika kuanzia mwaka 2015-2018 kwa mujibu wa makadirio ya Benki ya Dunia, ambapo hali ya umasikini wa kipato kwa nchi ya Tanzania imeonekana kuwa chini ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo kwenye orodha, huku zimbabwe ikiongoza kwa 72.3%

Ripoti hiyo inaonesha hali ya umasikini wa kipato nchini Tanzania ni 26.4%, ikifuatiwa na kenya 36.8%,Rwanda 38.2%Africa kusini 55.5%,Zambia 54.4%, na Zimbabwe 72 3%.
 
Kama wameweza ficha corona tza wanashindwa vipi kuficha Hali ya umasikini nchini
 
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya mwaka 2020 inayoangazia hali ya utekelezaji wa Serikali ya awamu ya tano(2015-2020) katika sekta mbalimbali, Imeangazia hali ya Umasikini nchini Tanzania kuanzia mwaka 1991-2020, ambapo imeainisha hali umasikini wa mahitaji ya msingi kwa kupangilia kulingana na awamu tano za marais walioongoza nchi kuanzia mwaka 1964 -2020.

Awamu ya kwanza (1964-1985) Chini ya utawala wa Mwal.Julius Kambarage Nyerere, hakukua na Takwimu zozote, mwaka (1985-1995) chini ya utawala wa Rais Benjamin Mkapa umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 39%, huku awamu ya tatu (1995-2005) hali hiyo ilikua 36%, sawa na kusema kwamba kiwango cha umasikini wa mahitaji ya msingi ilipungua kwa 3%.

Awamu ya nne(2005-2015) chini ya Rais Jakaya Kikwete umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 28% ambapo hali hii ilipungua kwa 8% ukilinganisha na awamu ya tatu. Awamu ya tano (2015-2020), umaskini wa mahitaji ya msingi ni 26.4% ambapo hali hii imeshuka kwa 1.6% ukilinganisha na ile ya awamu ya nne.

Aidha ripoti hiyo imeangazia hali ya umasikini wa kipato kwa baadhi ya nchi za Afrika kuanzia mwaka 2015-2018 kwa mujibu wa makadirio ya Benki ya Dunia, ambapo hali ya umasikini wa kipato kwa nchi ya Tanzania imeonekana kuwa chini ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo kwenye orodha, huku zimbabwe ikiongoza kwa 72.3%

Ripoti hiyo inaonesha hali ya umasikini wa kipato nchini Tanzania ni 26.4%, ikifuatiwa na kenya 36.8%,Rwanda 38.2%Africa kusini 55.5%,Zambia 54.4%, na Zimbabwe 72 3%.
Labda kwa magufuli ndio umaskini umepungua.
 
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya mwaka 2020 inayoangazia hali ya utekelezaji wa Serikali ya awamu ya tano(2015-2020) katika sekta mbalimbali, Imeangazia hali ya Umasikini nchini Tanzania kuanzia mwaka 1991-2020, ambapo imeainisha hali umasikini wa mahitaji ya msingi kwa kupangilia kulingana na awamu tano za marais walioongoza nchi kuanzia mwaka 1964 -2020.

Awamu ya kwanza (1964-1985) Chini ya utawala wa Mwal.Julius Kambarage Nyerere, hakukua na Takwimu zozote, mwaka (1985-1995) chini ya utawala wa Rais Benjamin Mkapa umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 39%, huku awamu ya tatu (1995-2005) hali hiyo ilikua 36%, sawa na kusema kwamba kiwango cha umasikini wa mahitaji ya msingi ilipungua kwa 3%.

Awamu ya nne(2005-2015) chini ya Rais Jakaya Kikwete umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 28% ambapo hali hii ilipungua kwa 8% ukilinganisha na awamu ya tatu. Awamu ya tano (2015-2020), umaskini wa mahitaji ya msingi ni 26.4% ambapo hali hii imeshuka kwa 1.6% ukilinganisha na ile ya awamu ya nne.

Aidha ripoti hiyo imeangazia hali ya umasikini wa kipato kwa baadhi ya nchi za Afrika kuanzia mwaka 2015-2018 kwa mujibu wa makadirio ya Benki ya Dunia, ambapo hali ya umasikini wa kipato kwa nchi ya Tanzania imeonekana kuwa chini ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo kwenye orodha, huku zimbabwe ikiongoza kwa 72.3%

Ripoti hiyo inaonesha hali ya umasikini wa kipato nchini Tanzania ni 26.4%, ikifuatiwa na kenya 36.8%,Rwanda 38.2%Africa kusini 55.5%,Zambia 54.4%, na Zimbabwe 72 3%.
Wacha weee....na sisi wanyonge tunaona maisha yamekuwa mazuri maana hata kiongozi wetu Polepole anajitapa kutembelea viiieiti na anatuuliza tunaijua viieiti tunabaki tunashangaa tu maana hatuelewi ni kitu gani
 
Hata wewe uliyezoea vya wizi, wewe zamani ulikuwa CCM baada ya kutumbuliwa uka lala mbele kwenda kutetea mafisadi.
Inaonekana ulikutikana na janga la uhalifu wa mali za nchi.
Magufuli akiondoka CCM narudi kukijenga Chama changu cha Zamani kilichoharibiwa na kupoteza misingi yake
 
Wewe una harufu ya ufisadi ndio maana ulikimbia jembe toka Chato. Halitaki wahuni na mafisadi.
Mimi nimeihama kwa ridhaa yangu hebu chagu wa malunde vikiria mtu umepigania Chama kwa nguvu zote halafu anakuja mtu kutoka Chadema amenunuliwa kwa fedha nyingi anakuja akapewa Wadhifa mkubwa na Gwajima kubwa sisi tunaachwa tuking'aa MACHO

chagu wa malunde angalia hata Rafiki yangu Stephen Masele alivyodhalilishwa na akina Ndugai na baadae akina Polepole

Bashiru na Polepole na Mtemi wao ndio wamekiua Chama.
 
Mimi nimeihama kwa ridhaa yangu hebu chagu wa malunde vikiria mtu umepigania Chama kwa nguvu zote halafu anakuja mtu kutoka Chadema amenunuliwa kwa fedha nyingi anakuja akapewa Wadhifa mkubwa na Gwajima kubwa sisi tunaachwa tuking'aa MACHO

chagu wa malunde angalia hata Rafiki yangu Stephen Masele alivyodhalilishwa na akina Ndugai na baadae akina Polepole

Bashiru na Polepole na Mtemi wao ndio wamekiua Chama.
Acha propaganda njaa wewe,hakuna aliyenunuliwa kutoka Chadema. Na suala la kupewa uongozi ni suala la kupokezana vijiti. Leo anapewa huyu kesho anapewa huyu.

Wewe tamaa ya pesa na ufisadi ulikitoka Ccm kwa sababu uliona hakuna dili.

Kwa sababu unapenda pesa nenda kaibe magwangala Ggm ili upate pesa za haraka.
 
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya mwaka 2020 inayoangazia hali ya utekelezaji wa Serikali ya awamu ya tano(2015-2020) katika sekta mbalimbali, Imeangazia hali ya Umasikini nchini Tanzania kuanzia mwaka 1991-2020, ambapo imeainisha hali umasikini wa mahitaji ya msingi kwa kupangilia kulingana na awamu tano za marais walioongoza nchi kuanzia mwaka 1964 -2020.

Awamu ya kwanza (1964-1985) Chini ya utawala wa Mwal.Julius Kambarage Nyerere, hakukua na Takwimu zozote, mwaka (1985-1995) chini ya utawala wa Rais Benjamin Mkapa umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 39%, huku awamu ya tatu (1995-2005) hali hiyo ilikua 36%, sawa na kusema kwamba kiwango cha umasikini wa mahitaji ya msingi ilipungua kwa 3%.

Awamu ya nne(2005-2015) chini ya Rais Jakaya Kikwete umaskini wa mahitaji ya msingi ulikua 28% ambapo hali hii ilipungua kwa 8% ukilinganisha na awamu ya tatu. Awamu ya tano (2015-2020), umaskini wa mahitaji ya msingi ni 26.4% ambapo hali hii imeshuka kwa 1.6% ukilinganisha na ile ya awamu ya nne.

Aidha ripoti hiyo imeangazia hali ya umasikini wa kipato kwa baadhi ya nchi za Afrika kuanzia mwaka 2015-2018 kwa mujibu wa makadirio ya Benki ya Dunia, ambapo hali ya umasikini wa kipato kwa nchi ya Tanzania imeonekana kuwa chini ukilinganisha na nchi nyingine zilizopo kwenye orodha, huku zimbabwe ikiongoza kwa 72.3%

Ripoti hiyo inaonesha hali ya umasikini wa kipato nchini Tanzania ni 26.4%, ikifuatiwa na kenya 36.8%,Rwanda 38.2%Africa kusini 55.5%,Zambia 54.4%, na Zimbabwe 72 3%.
Hali ya umaskini ikipungua nchini tutaiona wenyewe kwenye maisha yetu ya siku kwa siku katika ngazi ya familia wala hatuwezi kusubiri Serikali itutangazie.

Kati ya mwaka 1980-85 wakati wa JK Nyerere na miaka 1985-90 wakati wa AH Mwinyi tuliona mabadiliko wenyewe katika maisha ya kila siku. Hivyo hatukusubiri Serikali itutangazie kuwa uchumi umepanda, tuliona wenyewe. Economic indicators zinazoandikwa na wachumi wa Magufuli ni za FORGERY. Takwimu FAKE huzaa ripoti FAKE
 
Back
Top Bottom