Serikali haiwajali wazanzibar?!

rogers26tz

Member
Oct 7, 2010
10
0
Inasikitisha sana.....
Eti watu binafsi wamejitolea kuendelea kuopoa maiti za waliozama na Mv SKAGIT huko Z'Bar (japo Serikali imesusa kuendelea na zoezi hilo)... na leo zimepatikana maiti tano. Na wamekiri kuwa kuna maiti nyingine nyingi tu zimenasa kule chini.
Cha ajabu ni kuwa serikali imegoma ''kuwasaidia'' mafuta ya kuendesha boti zao ili hawa waliojitolea waendelee na zoezi hili....
Hivi Wananchi ambao hawajapata miili ya ndugu zao watakuwa na sababu gani ya kuipenda serikali yao?!!!
Source;ITV Habari
 
..mbona UMEME mnapewa BURE?

..juzi Dr.Bilali kapewa bilion 32 kwa ajili ya maendeleo ya ZNZ.

..hizo zinaweza kujenga shule 15 za sekondari, fully equiped.
 
¿ɯɔɔ ɐʎ !Ⴈɐʞ!ɹәs opɐq ɐәɯәƃɐʇɐuɯ әʎu
 
Mi sioni tofauti ya serikali... Iwe ya Muungano au SMZ....Kinaongoza Chama kilekile pande zote mbili! Japokuwa kwa mtazamo wangu Serikali ya Muungano ndo inawajibika zaidi katika masuala ya usalama wa raia!
 
Mi sioni tofauti ya serikali... Iwe ya Muungano au SMZ....Kinaongoza Chama kilekile pande zote mbili! Japokuwa kwa mtazamo wangu Serikali ya Muungano ndo inawajibika zaidi katika masuala ya usalama wa raia!

kutoa maiti baada ya boti kuzama SIO wizara ya mambo ya ndani, HILO NI JANGA liko chini ya makamu wa pili wa Rais, ndio maana hata rambi rambi zinafika kwake, haziji kwenye wizara ya mambo ya ndani na kutawanywa, zinaenda kwake moja kwa moja, kilichofanyika kuwaona polisi siku ya kwanza ilikuwa ni dharura tu.SERIKALI YA ZNZ NDIO INAWAJIBIKA KATIKA HILO ,hata boti yenyewe haina usajili tanzania , ina usajili znz.
 
Back
Top Bottom