Ishindwe mara ngapi? Watu wamehitimu ualimu, nafasi ziko wazi nyingi sana lakini hela ya kuwaajiri haipo. Takwimu za TRA ni kwamba kodi inakusanywa nyingi - inaenda wapi! Mwezi huu wafanyakazi wa serikali wanakula xmass bila mshahara; sitashangaa hata mwaka mpya ikawa bado. Serikali imekopa nssf karibu inaifilisi, ikahamia kwenye benki za biashara ambako riba ni ya kufa mtu, kisa hawawezi kuuza treasury bills; hakuna wa kuzinunua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.