"Ni nani miongoni mwenu ambaye mwanae akiomba samaki atampa nyoka?
Au akiomba yai atampa nge?
Hata ninyi mlio waovu huwapa watoto wenu vipawa vyema"
~ Yesu.
Najaribu kutafakari, imekuwaje serikali ilipoombwa na madaktari kuweka posho ya mazingira magumu, hatarishi, usafiri, badala ya kuwapa, ikadai kuongeza posho ya postmortem ambayo haikuombwa, au hicho ndo kipawa chema ilichokiona?
Na imefanya hivyo ikijua wazi kuwa postmortem hazifanywi na kila daktari na wala si shughuli ya kila siku?
Hv imeshindwa ht kuiga mfano wa baba muovu kwa kuwasikiliza madaktari na hivyo kuwaokoa watoto wake(wananchi ilioingia nao mkataba wa kuwahudumia kwa njia ya kura)!
Ht Farao na uovu wake, alijua kuwapigania wamisri, ht ikibidi kwa kuwatesa waisrael,
lkn yetu sivyo, au kwa vile Farao hakuwa dhaifu?
Au akiomba yai atampa nge?
Hata ninyi mlio waovu huwapa watoto wenu vipawa vyema"
~ Yesu.
Najaribu kutafakari, imekuwaje serikali ilipoombwa na madaktari kuweka posho ya mazingira magumu, hatarishi, usafiri, badala ya kuwapa, ikadai kuongeza posho ya postmortem ambayo haikuombwa, au hicho ndo kipawa chema ilichokiona?
Na imefanya hivyo ikijua wazi kuwa postmortem hazifanywi na kila daktari na wala si shughuli ya kila siku?
Hv imeshindwa ht kuiga mfano wa baba muovu kwa kuwasikiliza madaktari na hivyo kuwaokoa watoto wake(wananchi ilioingia nao mkataba wa kuwahudumia kwa njia ya kura)!
Ht Farao na uovu wake, alijua kuwapigania wamisri, ht ikibidi kwa kuwatesa waisrael,
lkn yetu sivyo, au kwa vile Farao hakuwa dhaifu?