Mwaka jana nilimpeka dada yangu
Aliporudi alikuwa teja zaidi na kibunda wale washikaji wamekula .
Tukajipa kazi kama familia kuhakikisha anakuwa sawa , kwasasa dada yangu sio yule amekuwa vizuri kabisa mpaka namtafutia mwanamme mwenye hela nzuri sio hawa mbelilembelile wakushindwa kumtunza dada ake.