Serikali, baada ya miaka 5 vijana hawa watakuwa waathirika 70%

Elly official

JF-Expert Member
Sep 16, 2018
727
976
Kwanza nipende kuipongeza Serikali kwa kuamua kuwasaidia hawa vijana walioathirika na UKIMWI katika umri mdogo. Ila hamkugundua janja ya wazungu wa red cross kutaka kuwakusanya hawa na kuwasomesha.

Kwa bahati nimebahatika kufanya kazi kwa karibu sana na vyuo vinavyohost hawa watoto. Kuna sehemu niliingia nikakuta wapo kama 300 hivi ndani kuna harufu ya madawa tu. Ilikuwa ni karakana ya ushonaji watoto hawa ni wasichana tu na wote ni waathirika. Bahati nzuri hiki chuo wanachungwa kwani hawaruhusiwi kutoka nje ya chuo.

Kama bahati nikatembelea chuo kingine, hiki nilikuta wasichana 150+ hapa ndo imenifanya nije na huu uzi.

Wale wtoto hawaruhusiwi kuwa nje ya chuo baada ya saa 11 jioni ila wapo free kutoka na kwenda popote muda baada ya masomo na ikumbukwe hiki chuo kina wanachuo jinsia mchanganyiko kama 300 walio wazima, na katika kupeleleza nikaambiwa hawa watoto waathirika ni vicheche kupindukia yaani vinaingia kila gest kila geto havichagui nani wa kwenda naye.

Sasa anzia wanafunzi wenzao, washikaji mtaani, waume za watu nk. Wapo hatarini sana kuambukizwa UKIMWI. Narudia tena hawa wazungu wangetafuta njia mbadala ya kuwasaidia hawa watoto kuliko hii njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawafundishwi kutumia ball position na hao red cross!!!au ball possition wadudu wanapenya?Na roho ya huruma hawana wamepandikizwa ukatili wamalize vijana wenzao??
 
Kwanza nipende kuipongeza Serikali kwa kuamua kuwasaidia hawa vijana walioathirika na UKIMWI katika umri mdogo. Ila hamkugundua janja ya wazungu wa red cross kutaka kuwakusanya hawa na kuwasomesha.

Kwa bahati nimebahatika kufanya kazi kwa karibu sana na vyuo vinavyohost hawa watoto. Kuna sehemu niliingia nikakuta wapo kama 300 hivi ndani kuna harufu ya madawa tu. Ilikuwa ni karakana ya ushonaji watoto hawa ni wasichana tu na wote ni waathirika. Bahati nzuri hiki chuo wanachungwa kwani hawaruhusiwi kutoka nje ya chuo.

Kama bahati nikatembelea chuo kingine, hiki nilikuta wasichana 150+ hapa ndo imenifanya nije na huu uzi.

Wale wtoto hawaruhusiwi kuwa nje ya chuo baada ya saa 11 jioni ila wapo free kutoka na kwenda popote muda baada ya masomo na ikumbukwe hiki chuo kina wanachuo jinsia mchanganyiko kama 300 walio wazima, na katika kupeleleza nikaambiwa hawa watoto waathirika ni vicheche kupindukia yaani vinaingia kila gest kila geto havichagui nani wa kwenda naye.

Sasa anzia wanafunzi wenzao, washikaji mtaani, waume za watu nk. Wapo hatarini sana kuambukizwa UKIMWI. Narudia tena hawa wazungu wangetafuta njia mbadala ya kuwasaidia hawa watoto kuliko hii njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini wazungu na si sisi wenyewe? Yaani hata wazo umeshindwa kutoa kutokana na ulilojionea, ila unataka wazungu ndio waje na suluhisho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauona unyanyapaa ndani yako,
Halafu unataka hao Red Cross wafanyaje wawaue au?
 
Acha unafiki..HIV ni ugonjwa wa kutaka mwenyewe kwani wanawalazimisha hao kulala nao..Acha unyanyapaa wewe..halafu unaweza shanga na ww kesho ukaukwaa..no one is safe..kikubwa jitahidi kuilinda afya yako..na Usali sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba ushauri wako ni upi, wenye maambukizi ya VVU wasifanye ngono? watengwe? wazuiwe kutoka ndani ya chuo? Kama hayo ndio mawazo yako basi unamatatizo ya akili, kimbia hospitali.
 
Kwamba ushauri wako ni upi, wenye maambukizi ya VVU wasifanye ngono? watengwe? wazuiwe kutoka ndani ya chuo? Kama hayo ndio mawazo yako basi unamatatizo ya akili, kimbia hospitali.

Mkuu Eli heshima kwako. Kuna kitu umeongea hapo kimenifanya nifikiri sana. For arguments sake hebu tu assume kwamba kule mwanzoni wakati tatizo hili la UKIMWI linaanza, serikali ingeamua kuwatenga wale wote waliogundulika kuwa na VVU na kuwaweka sehemu moja "quarantine" kama ilivyokua inafanyika zamani yanapotokea magonjwa ya mlipuko. Hali hii ingeendelea kwa kipindi kama cha miaka mi5 hivi naamini tatizo hili lingetokomea kabisa. Najua lingekua swala lisilo la kibinadamu, na pengine lenye gharama lakini lingekua na maslahi mapana sana kwa taifa. Au we unaonaje?
 
Mkuu Eli heshima kwako. Kuna kitu umeongea hapo kimenifanya nifikiri sana. For arguments sake hebu tu assume kwamba kule mwanzoni wakati tatizo hili la UKIMWI linaanza, serikali ingeamua kuwatenga wale wote waliogundulika kuwa na VVU na kuwaweka sehemu moja "quarantine" kama ilivyokua inafanyika zamani yanapotokea magonjwa ya mlipuko. Hali hii ingeendelea kwa kipindi kama cha miaka mi5 hivi naamini tatizo hili lingetokomea kabisa. Najua lingekua swala lisilo la kibinadamu, na pengine lenye gharama lakini lingekua na maslahi mapana sana kwa taifa. Au we unaonaje?
Ni kweli hiyo ni moja ya mbinu zinazotumika, lakini hua inafanya kazi kwenye 'epidemic diseases', yaana magonjwa yanayoathiri watu wengi kwenye eneo fulani na kwa kipindi cha muda fulani tu, kama vile ebola, kipindupindu, surua n.k, UKIMWI ni 'global pandemic', kwa maana kwamba ni janga liliathiri dunia nzima na ni endelevu, hivyo huwezi kutumia njia ya kuwatenga wagonjwa.
Kipindi ukimwi unaanza kuingia nchini, hata huko marekani walikua hawauelewi vizuri, kwakifupi sote tulikua gizani, hata namna ya kuwapima wagonjwa ilikua ngumu sana, hususani huko vijijini, hivyo basi kazi ya kuwagundua na kuwatenga isingewezekana. Na kwasasa ndio umeshakua 'global pandemic' hivyo quarantine haiwezekani tena.
 
Ni kweli hiyo ni moja ya mbinu zinazotumika, lakini hua inafanya kazi kwenye 'epidemic diseases', yaana magonjwa yanayoathiri watu wengi kwenye eneo fulani na kwa kipindi cha muda fulani tu, kama vile ebola, kipindupindu, surua n.k, UKIMWI ni 'global pandemic', kwa maana kwamba ni janga liliathiri dunia nzima na ni endelevu, hivyo huwezi kutumia njia ya kuwatenga wagonjwa.
Kipindi ukimwi unaanza kuingia nchini, hata huko marekani walikua hawauelewi vizuri, kwakifupi sote tulikua gizani, hata namna ya kuwapima wagonjwa ilikua ngumu sana, hususani huko vijijini, hivyo basi kazi ya kuwagundua na kuwatenga isingewezekana. Na kwasasa ndio umeshakua 'global pandemic' hivyo quarantine haiwezekani tena.
Mkuu wewe kwa maoni yako unafikiri huu ugonjwa ulitokea tu accidentally au ni man made?
 
100% man made

Mkuu mimi binafsi pia naamini 100% huu ugonjwa ni man made. Na pia naamini 100% kwamba kuna dawa ambayo mtu ukimeza unapona kabisa UKIMWI. Ila kwa ninavyowajua MABEBERU, dawa hiyo haitakaa iwe released to the public maana kama wanavyosema wenyewe, "There is no money in the cure" wakimaanisha kwamba mtu hatakiwi atibiwe apone, anatakiwa apewe dawa ya kutuliza tuu ili aendelee kuihitaji maisha yake yote, na hivyo ndio hela inavyotengenezwa.
Ndio maana kuna siku nilisema hizi njia tulizoletewa na MABEBERU za ku control huu ugonjwa kamwe haziwezi kutusaidia kuondokana na tatizo hili maana lengo lao sio kumaliza tatizo. Tungekua na akili, tungekaa chini kama bara tutafute solution yetu ya kudumu kwa gharama yoyote ile bila kuwahusisha wazungu.
 
Back
Top Bottom