Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,270
- 4,975
ipo kwa ajili ya kunyonga,husikii wenyewe wanajiita serikali ya wanyonge
Awamu ya kuzulumu kila kitu,wakulima wanalia,wastafuu wanalia,wafanyakazi wanalia,wafanyabiashara wanalia,sasa hii serikali ya awamu ya tano IPO kwa ajiri ya nani na kwa sababu gani?Wadanganyika amkeni