ngasha
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 145
- 74
Habari zenu wadau wa elimu,
Nimekuja na suala moja tu ambalo naona kama halipo sawa katika hii sekta ya elimu, suala hili ni ada !!
Ivi inakuwaje vyuo kama UDOM,UDSM,MZUMBE,SUA, n.k ambavyo ni vya serikali kuwa na viwango tofauti vya ada kwa course/faculity moja?
Mfano degree ya education UDOM ni laki 7 lakini UDSM degree hiyo hiyo ni million moja na laki kadhaa
Kinachonishangaza ni utofauti uo mkubwa wakati vyote vinaongozwa na kusimamiwa na serikali ile ile,
Nika jiuliza maswali kadhaa;
1.Au malectures wa UDOM wanalipwa kidogo kuliko wa UDSM?
2.Au degree ya UDSM ina thamani kuliko ya UDOM?
3.Au vyuo hivi navyo ni private ndo maana kila kimoja kinajiamulia kiwango cha ada?
Ingekuwa vizuri serikali ingeweka viwango sawa vya ada kwa vyuo vyote nchini ilikupunguza competition ya watu kukimbilia vyuo kadhaa vyenye ada ndogo matokeo take ndo hayo wengine kukosa nafasi kutokana na vyuo husika kujaa
Pia vyuo vya private viangaliwe katika upangaji wake wa ada kwani elimu sasa imekuwa biashara wanajiamulia tuu na kuwa umiza wananchi wa hali ya chini !!
Au nyie wenzangu wa JF mnalionaje suala hili?
#Ni mtazamo tuu
Nimekuja na suala moja tu ambalo naona kama halipo sawa katika hii sekta ya elimu, suala hili ni ada !!
Ivi inakuwaje vyuo kama UDOM,UDSM,MZUMBE,SUA, n.k ambavyo ni vya serikali kuwa na viwango tofauti vya ada kwa course/faculity moja?
Mfano degree ya education UDOM ni laki 7 lakini UDSM degree hiyo hiyo ni million moja na laki kadhaa
Kinachonishangaza ni utofauti uo mkubwa wakati vyote vinaongozwa na kusimamiwa na serikali ile ile,
Nika jiuliza maswali kadhaa;
1.Au malectures wa UDOM wanalipwa kidogo kuliko wa UDSM?
2.Au degree ya UDSM ina thamani kuliko ya UDOM?
3.Au vyuo hivi navyo ni private ndo maana kila kimoja kinajiamulia kiwango cha ada?
Ingekuwa vizuri serikali ingeweka viwango sawa vya ada kwa vyuo vyote nchini ilikupunguza competition ya watu kukimbilia vyuo kadhaa vyenye ada ndogo matokeo take ndo hayo wengine kukosa nafasi kutokana na vyuo husika kujaa
Pia vyuo vya private viangaliwe katika upangaji wake wa ada kwani elimu sasa imekuwa biashara wanajiamulia tuu na kuwa umiza wananchi wa hali ya chini !!
Au nyie wenzangu wa JF mnalionaje suala hili?
#Ni mtazamo tuu