MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Nina taarifa ya uhakika kwamba serikali imeanza kutumia pesa za walipa kodi kuwashawishi viongozi wa vyama vya wanafunzi kushawishi wanafunzi wenzao ili watoe matamko ya kuunga mkono serikali 2. Walioko vyuo vikuu sasa mutashuhudia mikutano ambayo imelipiwa (sponsored) na serikali ili kutoa matamko ya aina hiyo.
Tutakapoanza kusikia matamko ya aina hiyo tusishangae sana. Nayo inachukuliwa kwamba ni mbinu ya kisiasa kuanza kuwashawishi wananchi kupitia wanafunzi. Binafsi naomba tu kwamba matamko hayo yasiwe kama yale yaliyotumwa kwa mzee warioba. Matusi hapana!
Tutakapoanza kusikia matamko ya aina hiyo tusishangae sana. Nayo inachukuliwa kwamba ni mbinu ya kisiasa kuanza kuwashawishi wananchi kupitia wanafunzi. Binafsi naomba tu kwamba matamko hayo yasiwe kama yale yaliyotumwa kwa mzee warioba. Matusi hapana!