Serie A: Inter Milan bingwa 2023/24

Twin Tower

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
2,133
2,987
Ukiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.

Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.

Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.

Wametisha sana. Tunawapa maua yao.

Serie A top 4 .png
 
Ukiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.

Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.

Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.

Wametisha sana. Tunawapa maua yao.

View attachment 2929919
Hatari sana
 
Ukiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.

Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.

Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.

Wametisha sana. Tunawapa maua yao.

View attachment 2929919
Kichwa cha habaria na uliyoyaandika ndani ya uzi vina tofautiana
 
Back
Top Bottom