Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,133
- 2,987
Ukiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.
Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.
Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.
Wametisha sana. Tunawapa maua yao.
Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.
Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.
Wametisha sana. Tunawapa maua yao.