VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mabao mawili ya Shaarawy yalitosha kuipa ushindi wa pili AC Milan dhidi ya Cagliari. Ni ushindi wa pili wa msimu huu kwa mechi tano. Sasa Milan yashika nafasi ya kumi. Wakati huohuo,mshambuliaji wa Napoli Edinson Cavani amefikisha mabao 99 pale alipofunga mabao matatu jana na kuipa timu yake ushindi wa 3-0 dhidi ya Lazio....