Serengeti kupitia tawi lake la mwanza limezindua bia ijulikanayo kwa jina la SENETOR yenye alcohol 6% ambayo ni mahususi kwa watu wa kipato cha chini. So walevi wenzangu tunafunga na kufungua mwaka kwa cheap bear
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.