Hajatoa mawazo hapo..na ww kiswahili kinakushindaHeshimuni mawazo yake na mtazamo wake ndivyo tulivyoumbwa binadamu
mmalawi..me nadhani mtu wa burundi huyoWewe utakuwa ni mmalawi
mmalawi..me nadhani mtu wa burundi huyoWewe utakuwa ni mmalawi
Kwanza elewa mimi sina na mnasaba na wewe, kwa hivyo si ndugu yako. Ungesema alau kuwa wewe ni mtawala wangu ingeingia akilini. Najua ukweli unauma. Narejea tena Serengeti Boys ni kichwa cha mwenda wazimu mwezi mchanga kwenye kundi la mazezeta.Hawa ndio wale ndugu zetu wa kisiwani wanaojiita waarab au kujinaaibisha na waarab wa oman... Huwa hawajielewi mpaka leo hii
Ni mimi Mzanzibari kinakindaki ninmaeipenda nchi yangu Zanzibar na ninae chukia utawala wa kimabavu wa Tanganyika kwa ZanzibarI think utakuwa ulimpa mtoto wako kuandika hii trend ,siamini kama kweli hizi ndio akili zako
Namilikiwa na mapenzi kwa Zanzibar dhidi ya kutawaliwa na TanganyikaUnamilikiwa
Nimetoka msikitini kusali na kuabudu na kuomba vichwa vya wendawazimu Srenegeti Boys wahemkwe wazimu kama vile Serengeti wa kweliInawezekana kuna kitu umetoka kukikalia mda huu
Sikutumwa wala si hitaji pole yako na wala roho hainisumbui kwa kusema ukweli.Umetumwa? Roho ya kwa nini inakusumbua pole sana
Ukubwa wa ubongo wako ni kama homo habilis kwenye msitu ambaee surayako ni chimbuko la Chipanzi ambae akili yako zaidi ya kula ndizi na kuharibu mazao na pahalapako pa kuishi ya msituni ni ZOO tuUkubwa wa ubongo wako ni kama shubiri ndani ya kizibo cha soda.ama kwa hakika umethibitisha unafikiria kwa kutumia unyayo wako.cha kushangaza zaidi we ni mtumwa wa akili zako mwenyewe.wewe sio binaadam bali ni nzi tena wa chooni.unawaza vitu vya chooni tu.
Hebu basi nakualika tukoge pamoja ni kuoneshe ya BaraghashWe jamaa mSeinger sana....
Hujakosea U 17 ya Tanganyika imecheza mara kadhha na Zanzibar na mara sote tunaifunga. Ni wazi kuwa Serengeti boys ikicheza na watu wenye vichwa timamu ni dfhahiri nitwapendelea wao kuliko vichwa vya mwenda wazimuhTunakujua.
Oman ikicheza na Serengeti boys utashangilia Oman.
Tuachie vijana wetu, usiwawangie.
Wala si mkazi wa zamzibari huyu!, huyu, ni raia fulani hivi ana kaa mitaa ya Lamu mwenye ghubu dhidi ya amani ya Zanzibar na Umoja wa Kitaifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Inatakiwa afisa uhamiaji wakuchunguze sio bure
Mwana sasahivi ni live it love it.Afu huyu ana dalili za kugongwa mtandao (t*g*) express urself
Tabia za kiswahili ndio hizi. Ukifanikiwa , wanataka kukushusha uwe chini zaid yao, au uwe sawa na wao. Na wakishindwa watasema lolote tu ili hadhi yako ishuke.Serengeti Boys timu iliobebwa kwa mpondo kufikia mashindano ya U17 kama Yanga bado inawafurahisha wa Tanganyika kiasi cha kujisahau kuwa hao wanaowashangilia ni kichwa cha mwendawazimu, hakitabiriki. Inategemea mwezi kuwa mchanga ay mpevu.
Tarehe 20 Mei mwezi unaanza kuwa mpevu na Serengeti boys wataanza kuhemwaka.Watanganyika mjiandae na tenga la kuhifadhia magoli
Mimi simo. Michezo haimo kwente Muungano/ Mkichapwa magoli sumii wala mkishinda sifurahi
Ni matokeo machungu lakini yatupasa tuyakubali vijana game ya Angola walipiga mpira mkubwa na kupata matokeo leo imekula kwetu lakini hii iwe msingi mzuri kwa mashindano yanayokuja si pa kukata tamaaAisee siamini macho yangu
aiseee wachawi mpo wengi sana haya tumerudi mikono nyuma