Serena advert and greedyness of Kenyans

Babu Kijana, kipaumbele cha Serikali yetu ni kukiwezesha chama tawala kushinda uchaguzi kwa kishindo kila baada ya miaka mitano. Hayo mambo ya utalii, madini, uchumi, biashara, miundombinu na mengineyo hayana umuhimu sana kihivyo.

Semi zako zimejaa utambuzi, ufahamu,hekima, ujuzi na uhai pia. Haya ndiyo mambo ambayo nchi yetu inatafunwa nayo. Ukiangalia wale mawaziri wakiwa bungeni, utafikiri wachawi, kazi ni kudifend chama, utafikiri chama ndiyo taifa. Lkn tunashukuru Mungu upepo wa mageuzi umeanzia Zanzibar, maslahi ya chama yamewekwa pembeni, ya nchi na wananchi yametangulia mbele.
 
Mwana Mpotevu! Tafadhali nina .. Swali la kutaka kupata elimu/ujuzi.

Watalii wakishalipa huko makao makuu ya hayo makampuni ya utalii, nchi yetu inafaidikaje na utaratbu huo? Au, pesa itaingiaje nchini?
Ufafanuzi tafadhali mkuu.


Mkuu ELIAKEEM

Nchi haifaidiki kabisa,kwani dola zinazolipwa zinabaki huko huko, Ulaya, South Africa, Nairobi, Marekani na Kwingineko, Mtalii anapokuja anakuja na karatasi tuu ( voucher) inayonyesha ameshalipa kila kitu, Kwenye uchumi husika dola za huyu mtalii hazifiki. Saanyingine wakubwa wakitoa figure za watalii waliotembelea TZ na mapato yaliyopatikana wanawajumuisha na hili kundi sasa sijui mapato wana calculate vipi,,, Na ukumbuke mapato halisi ya haya makampuni hayapo wazi ukingia kwa undani saana utakuta vitabu vipo vya aina mbili kimoja kinachokuwa na figure za kweli ambacho mwenye kampuni ndicho anakuwa nacho na kingine ni cha TRA ambacho ndo wanacheza na figure.

Kingine ukumbuke haya makambuni na mahoteli hayanunui bidhaa kwenye masoko ya ndani, Bidhaa kama nyama, maji ya kunjwa, mashuka, matent,vinjwaji wanaimport kutoka nje kama kampuni ni ya South Africa wananunua bidhaa kutoka south africa, kama ni ya Kenya hivyo hivyo, so ukijaribu kungalia multiplier effects ya haya makampuni kwa uchumi wa ndani ni kidogo saana ukilinganisha na nchi nyingine, Ukumbuke ujinga kama huu huwezi ufanya Kenya na nchi nyingine ambapo hapo makini lakini hapa kwetu ndo hivyo tena kila kitu kinafanyika

Package tours ( all inclusive tours) sio nzuri hata kidogo na hazinufaishi nchi badala yake zinaneemesha makampuni na watu wachache, ukumbuke kwa Tanzania serekali ilipo liberalize uchumi ilitakiwa iwakingie kifua wazawa kwa kuwalazimisha wawekezaji kwenye hii lucrative business watafute local partiners. Angalau wangefanya hivyo tungefaidika kidogo kwani walau kafaida kadogo kangebaki Tanzania, Kenya zamani walikuwa na sheria ya namna hiyo, iliwasaidia saana Wakenya,


 
Wala sipati shida!

Hiyo siku hizi imerekebishwa saana tu ; nimeangalia katika documentaries zaidi zaa 3 National Gegraphic wako clear kabisa na representing what is in Tanzania na walikuwa na special coverage ya hiyo migration!

Tujiimarishe tupige kazi na tujipange huu muda si wa kulalamika!
 
I saw the advert of serena Hotels for CNN Journalists award sponsorship on the CCN and i'm suprized to see Kilimanjaro, Serengeti and Nungwi Forests were mentioned without their respective countries names i.e. where they are found but Animal Migration was mentioned with Kenya as if that seasonal migration happens only in Kenya! However Of the four movements/circuits in one complete circle in a year, three happens in Serengeti within Tanzania and for the whole year the animals spend only 3 months in Masai Mara! Suprizes dont end there since migration has to have a point of start and end but their Migration has only Kenya though the company is positioning itself as East african for that reason, i urgue Tanzanians not to let one visa stupidity happen cause these dudes are refusing to acknowledge Mt Kilimanjaro, Serengeti are in Tanzania and migration happens between two countries! I won't be suprized to hear there more extreme greedyness if we allow this one visa thing for Tourists! Though Serena Hotels have equal number of Hotels in Tanzania compared to Kenya, Tanzania is misrepresented on that advert! though EAC pushed for every advert to be under EA banner of which tanzania complied with "Tanzania the land of Kilimanjaro, Zanzibar and the Serengeti", i did not see any EA banner with "Magical Kenya advert" and that shows the continuing greedy with delibaretly intentions we are used to from this Northern neighbours! Pls i urgue Tanzanians to note that and not to feel ashamed of avoiding the Serena Hotels which by the way are owned by the Aga Khan + other foreign owners as majorities but embrace Kenyan arrogance and avoid a wider East African representation though they make a lot of money from Tanzania!

We are not greedy,we are simply positioning ourselves as a leading tourist destination,which should be the duty of any government including Tanzania.Do not forget the fact that Mara was voted to be one of the wonders of the world.This is one of the reasons why EA should be marketed as a single tourist destination,this will reduce the cost of marketing and we can sustain a marketing campaign for a long time.

We East Africans should be the first people to know and enjoy our products,if i may ask,how many of us have visited Mt Kilimanjaro or Mt Kenya,the Great rift valley or Mt Ruwenzori,the Gorilla parks in Rwanda etc,we should encorage East Africans to visit East Africa,or else how can we sell what we have not tasted or known!

WE must unite and love one another and be able to tolerate each other,Kenyans are not bad poeple,do not judge a whole generation of good people because of some few rotten elements among us.

Lets have a single tourist visa,market ourselves as a single unit,Yes!! we can brand ourselves eg as a SWAHILI NATION!! Tanzanians can teach us pure Kiswahili,Kenyans/Ugandans can teach English,Rwandese and Burundians can treach as French and and if need be Kenyan youth can teach SHENG,a combination of english,Kiswahili various native languages, we can localise them like Tanzanian/Uganda/Burundi/Rwanda Sheng,depending on the number of languages each country enjoys.

We can become a one cohesive unit though with small weakness which can be overcome anyway and build an economy and a legacy that will be enjoyed by us and the future generations.In my High school we had a Motto that said IN UNITY IS STRENGHT.

We cant lag behind,egypt prides itself in the pyramids and river nile only and attracts more than 5M tourists annually,what dont we have!!?With proper planning and marketing EA has a capacity to attract more than 40M tourists annually,we have everything than any nation can wish for,rich history,various species of wildlife,beautiful scenery,friendly people etc.WE have no choice but just to make it,let us use what we have to get what we want.Let go all your suspicions and fears but be free to express them so than we can iron out most differences that divide us.
 
When are we Tanzanians going to stop complaining and do something to address the perceived unfair treatment from our neighbours.

Kwani tumezuiliwa kutangaza hiyo Kilimanjaro na Serengeti sisi wenyewe mpaka wakenya watutangazie kwenye matangazo yao? Hivi unataka wakenya waseme kwenye matangazo yao kuwa "migration" ya wanyama ipi Serengeti ili iweje?

Wao lengo lao ni kuvutia watalii waende Kenya na siyo Tanzania. Kama na sisi tunataka watalii waje Serengeti kuangalia animal migration basi tuitangaze "animal migration" bila kuitaja mbuga yao ya Maasai Mara ya Kenya.

Lazima tujue kuwa EAC siyo suluhu ya matatizo yetu ambayo yametokana na sisi wenyewe. Kila mwanachama anaingia EAC na malengo yake ya kiuchumi na kijamii kama sisi hatuna malengo yoyote basi tutakuwa wasindikizaji tu milele.

Tanzania itajengwa na sisi watanzania wenyewe na si vinginevyo.

Thank you Brother. You have hit the nail on the head. At least you are objective in your observations. I commend you big time.
 
Wakuu mawazo yote yaliyosemwa ni sahihi kabisa, sasa tutalalamika hadi lini wakati wakenya wanajua kula na kipofu.
Tukubali kuwa watanzania tunatatizo kubwa ambalo linahitaji utatuzi. sisi ni wazuri wa maneno bila matendo na hilo wanasiasa wetu, wakenya na hata majirani wameisha litambua.Hizi kelele za chura tulizo nazo haziwakatazi wachota maji kuchota basi tubadilike.
na mabadiliko yaanzie kwa wasomi kuelimisha jamii hasa wananchi vijijini ambao kama JK alivyosema waliowengi wanafuata upepo.
 
Back
Top Bottom