Ndugu wa Tanzania nimasikitiko makubwa Sana serekali ina fanya mzaha kwenye sekta ya elimu juzi tumeona naibu waziri wa elimu akizifungia baadhi ya shule kwakukosa sifa ya kuziendesha kwa mfano shule kuanzishwa bila kysajiliwa watoto wanakaa miaka 4 Wanalipa pesa ya mtihani siku ya mtihani wanaambiwa haiwezekani kufanya mtihani shule haina usajili adhabu anayopewa huyu mmilki nikuambiwa funga shule Mimi naona hiyo haitoshi huyo ni mwizi Kama waizi wengine hivyo nilitarajia mmiliki ange kamatwa na kufikishwa mbele ya sharia kujibu shitaka la uizi wakuaminika,
Nai
Naomba mawazo yenu wadau
Nai
Naomba mawazo yenu wadau