Mla Bata JF-Expert Member Joined Jan 24, 2013 Posts 8,192 Reaction score 18,846 Sep 24, 2018 #21 Mzigua90 said: Kuna remix yake kumbe? Click to expand... Ndio mkuu kawashirikisha chemical, nandy michupi, Alice na Maua Sama.
Mzigua90 said: Kuna remix yake kumbe? Click to expand... Ndio mkuu kawashirikisha chemical, nandy michupi, Alice na Maua Sama.
S St Lunatics JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 6,644 Reaction score 11,201 Sep 24, 2018 #22 Mzigua90 said: Sidhani Kama anaweza kutokea huku Click to expand... Kwanini ukasema hivyo wapo wanaume wanao jielewa hapa. Unaweza kukuta mtu hapa ana mapenzi ya kweli na akakufuta machozi uliolizwa mwanzo. Keyboard na uhalisia ni vitu tofauti huwezi kujua kuogelea mpaka ujifunze kuogelea. Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Mzigua90 said: Sidhani Kama anaweza kutokea huku Click to expand... Kwanini ukasema hivyo wapo wanaume wanao jielewa hapa. Unaweza kukuta mtu hapa ana mapenzi ya kweli na akakufuta machozi uliolizwa mwanzo. Keyboard na uhalisia ni vitu tofauti huwezi kujua kuogelea mpaka ujifunze kuogelea. Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ