Hili ni Tatizo Kubwa sana, kwani hawezi kujisaidia wenyewe wala Serikali, ndio maana nchi zinazoendelea kwa kasi wanachukua wale wacheche wanaotaka kukua kibiashara na elimu ili wawavute masikini, ndio maana serikali hizo huweka mishahara mizuri kwa wafanya kazi na kuweka punguzo Kubwa kwa wafanyabiashara ili walioko chini wavutiwe na kujitahidi wafike juu, ila kuwaruhusu wafanye wanavyotaka wataharibu hata vinavyotengenezwa sasa, ni viziri Serikali ianze kuwawekea utaratibu sasa.