Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Tunataka sera ya taifa ya Nsenene...
Kwa nini serikali hawaoni hili......
Infwact, Hivi serikali hawajui wakiwekeza kwenye viumbe hawa tukaanza kusafirisha nje ya nchi kama kule Kentucky kwa Rwechungura, Massachusetts kwa Rugemalila, Oxford ambako mwanangu Kokuberwa "anachukua" ile Masters yake na wngine wengi waliosambaa huko tutapata fwedha nyingi za kigeni?
Tunataka sera, tunataka uwekezaji wa kutosha na mitambo ya kuvunia hiki chakula botra kabisa duniani na mikakati madhubuti
Bishanga, Ta Muganyizi, BONGOLALA and the rest, come here tuinganganize serikari kuunda sera maalum ya Senene
Otherwise 2015 hapatoshi....
Kwa nini serikali hawaoni hili......
Infwact, Hivi serikali hawajui wakiwekeza kwenye viumbe hawa tukaanza kusafirisha nje ya nchi kama kule Kentucky kwa Rwechungura, Massachusetts kwa Rugemalila, Oxford ambako mwanangu Kokuberwa "anachukua" ile Masters yake na wngine wengi waliosambaa huko tutapata fwedha nyingi za kigeni?
Tunataka sera, tunataka uwekezaji wa kutosha na mitambo ya kuvunia hiki chakula botra kabisa duniani na mikakati madhubuti
Bishanga, Ta Muganyizi, BONGOLALA and the rest, come here tuinganganize serikari kuunda sera maalum ya Senene
Otherwise 2015 hapatoshi....
Last edited by a moderator: