Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
- Thread starter
- #21
ahahaaa sijawala saaaana muda mwingi nilikuwaga shule ...so sijawai kuexperience hiyo kitu besides those days nilizokuwa zote nilikuwa bado kuanza hayo mambo..mimi mambo ya malavidavi nimeanza juzi tu mwaka wa tatu college ujue.
Anyway, tutafanyia utafiti observation yako ili tuone kama ni aspect nyingine ya kutilia mkazo idea ya kuwa na sera ya kitaifa ya maendeleo ya Senene
Si unajua Doctor MziziMkavu anapata sana wateja wengi wanaohitaji ku-boost "mnyegelisho"
Last edited by a moderator: