Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,451
- 4,655
Wizara ya Maliasili na utalii imetangaza matokeo ya sensa ya Tembo ambayo yanaonesha kuwa kati ya mwaka 2009 na 2013, Tembo wamepungua kwa 66% katika maeneo ya mfumo ikolojia wa SELOUSMIKUMI na 36.5% katika maeneo ya mfumo ikolojia wa RUAHARUNGWA.
Jumla ya mizoga 6,516 ya Tembo imepatikana SelousMikumi na mizoga 3,496 imepatikana RuahaRungwa na jumla ya meno ya Tembo yenye uzito wa Kilogramu 32,987 yamekamatwa ndani na nje ya nchi kati ya mwaka 2008 hadi Septemba 2013.
Nini maoni yako juu ya kuokoa rasilimali hii ya Tembo kwa ajili ya Tanzania ijayo?
Jumla ya mizoga 6,516 ya Tembo imepatikana SelousMikumi na mizoga 3,496 imepatikana RuahaRungwa na jumla ya meno ya Tembo yenye uzito wa Kilogramu 32,987 yamekamatwa ndani na nje ya nchi kati ya mwaka 2008 hadi Septemba 2013.
Nini maoni yako juu ya kuokoa rasilimali hii ya Tembo kwa ajili ya Tanzania ijayo?