Sensa na makarani na wakufunzi

Sensa na makarani na wakufunzi

mapololo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
359
Reaction score
642
Only in here, nchi ambayo tunabangaiza maisha,wengine hata tunaishi chini ya USD 1 kwa siku lakini inafikia mahali eti hata zoezi Dogo tu la kumtuma mtu kaya fulani akaandikishe idaidi ya watu nae anahitaji kupewa seminor ya takriban wiki 3 na kila siku unamlipa na mkufunzi wake unamlipa ,kweli?

Mbaya zaidi unatangaza hadharani kuwa kunamchujo et hao unao wapa hayo mafunzo ya kuhesabu watu bado cyo watu sahihi eti kutakuwa na mchujo wa mitihani na hata field na waki feli eti utawarudisha nyumbani na bado wamesha lipwa,

Kwanini nyie watu mliye pewa dhanana serikalini hamna huruma na nchi hii jamani, kweli mtu anaweza kufanya hivyo bila woga?

Lakini pia tulitegemea basi hata zoezi zima hilo linge zingatia zaidi hata kwa wale vijana wasiye na ajira ambao wapo mitaani wamemaliza vyuo,lakini waliye pewa n wenye ajira tena na mishahara mikubwa serikalini bila aibu yeyote, Daaah
 
Maumivu ya kukosa ukarani haya pole, jitahidi bado wiki mbili zoezi liishe
 
Mbona hela yenyewe ni ndogo sana mdogo wangu.....zoezi zima ni shilingi laki tano tu.....semina malipo yake ni shilingi laki na sabini....
 
Waache na wanyonge nao wafaidi hata kidogo tu hiyo keki ya Taifa.

Maana kwa kiwango kikubwa hiyo keki inatafunwa na watu wachache wenye mamlaka kule juu.
 
FB_IMG_16532813981690202.jpg
 
Mbona hela yenyewe ni ndogo sana mdogo wangu.....zoezi zima ni shilingi laki tano tu.....semina malipo yake ni shilingi laki na sabini....
Daaah wametujaza nyongo huku mtaani eti ni watapata Million 1.2 , Aliyekata jina langu ipo siku yake pia !!
 
Kuna mpumbavu mmoja hapo juu..aliekuwa analishwa na mama yake, kanitusi..hayo ndio malipo ya kazi nzima ya sensa...
 
Back
Top Bottom