BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Naambiwa budget ya sensa ya mwaka huu ni Tshs160 Billion. Jana nikakutana na Mwenyekiti na Katibu Mtendaji wakaniambia mpaka sasa hawajalipwa na hata wakilipwa haitazidi shs 150,000 kwa mtu. Najaribu kupiga hesabu na kugundua kwamba hela nyingi imetumika katika administration and logistics. Na siku ya mwisho anaehesabu watu ni watu wa chini kabisa. Mimi leo nimehasabiwa na sijaona hata swali moja ambalo ni very technical kumshinda balozi kuniuliza.
JE? Ni kwanini Sensa isingerudishwa kwa Mkurugezi wa maendeleo wa wilaya na yeye aka delegate kwa WEO na kufika mpaka kwa mabalozi? Je isingetumia muda mdogo na pesa kidogo?
JE? Ni kwanini Sensa isingerudishwa kwa Mkurugezi wa maendeleo wa wilaya na yeye aka delegate kwa WEO na kufika mpaka kwa mabalozi? Je isingetumia muda mdogo na pesa kidogo?