Senegal hawajatutoa kihalali kabisa yani

Senegal hawajatutoa kihalali kabisa yani

varency

Member
Joined
Mar 24, 2022
Posts
15
Reaction score
20
.
20220330_120122.jpg
 
Si hami afrika kwa sababu haya mambo kwa sababu yana jump jump only in Africa. Africa tunafaidi sana kwenye soka,utawala,elimu na michezo
 
Vipi aliyefunga nae hakumulikwa tochi? Waarabu ndio michezo yao hii, watulie tu.

Ila caf hii ratiba wamezingua saana, hapa mmisri alipaswa aende, ila ndio soka, yule algeria sijui kilimkuta nini nae.
 
Back
Top Bottom