Semina na Vikao vya awamu hii ni hatari kwa wenye vidonda vya tumbo

Hahahahahahaaaa mahindi ya kuchemsha na maji ya kunywa? Huku ni kukoseana heshima!
 
lakini ukipiga hesabu ya bei ya hindi moja ni Tsh 1000 na sambusa moja ni Tsh 1000. Sasa hapo ni aina ya kibwagizo au bei ya kibwagizo? Wacha muvi iendelee.

Hhhhhhaahhaaa sambusa moja hushibi ila hilo hindi moja ukipga na maji swaaaafi kabsa na unarud mzigoni
Hapa kazi tu
 
Niliwaambia wanunue karanga za jumla wakaange kubana matumizi..

Hawaoni kama mahindi na hiyo soda na maji ni gharama Sana?

Hiyo pesa tungetengeneza madawati mengi tu..

Nitaagiza atumbuliwe aliyeandaa bajeti..!!
 

Unasikitisha sana kama haupendi kazi yako ondoka achia wengine watujengee nchi yetu, tena bora Mh. Magufuli aanze kuomba watu mnaotakiwa kuhudhuria mkikosa zaidi ya mara tatu mjieleze au kazi kwaheri.

Looo uvivu tu na labda hauna ujuzi na kazi yako. Unatia aibu kwa uliyoandika...beba pesa ukale unachotaka..

Orodha ya waliohudhuria inabidi ianzishwe kote serikalini
 
Vitu vingine ni kukomoana tuu. Hapo unakuta mtu na tai yake safi unapambana na mahindi ya kuchemsha mbele ya kamera
 
Mmeniacha wakuu wangu
Nacheka siyo kidogo..

Kwani hivyo vyakula vilikuwa forbiden kwenye menu za semina? Nadhani tunakuza soko la ndani
tatizo ni mambo mageni kwetu,mpaka tuje kuzoea itatuchukua miaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…