Watu hawakimbilii semina kama zamaniWeka mbali na watoto..!
Ndio hivyo mkuu. Mimi mwenyewe ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka kumi, nilianza enzi ya mzee wa malofa, hali ya vikao kwa sasa ni ngumu kumesa. Zamani ilikuwa ni mwendo wa mabagia, fulu menyu na li juisi kopo zima kwa kila mtu na bahasha nzito. Kwa sasa mwisho wa kikao unapewa asante ya mdomo. Ni maumivu hakunaga. Kwa sasa mimi vikao vingi natoa udhuru, sihudhurii kwani havina mvuto.Inawezekana ilikua starter tu hiyo
Kazi na kula ni kitu kimoja , au we mwenzetu ni roboti?Unaenda kula au kufanya kazi?
Hii safi sana.
Fanya kazi, utakula nyumbani. Trafik anakula wapi pale barabarani? Kukaa kwenye kiyoyozi dkk 45 tu mnataka sambusa...jamaa kafanya safi sana manake na upumbavu nao ulizidiKazi na kula ni kitu kimoja , au we mwenzetu ni roboti?
Yaani wanapasha meno moto?Inawezekana ilikua starter tu hiyo
Kama yanatoka kwenye shamba la kijiji, lazima bei itakuwa chini ya buku,labda ndoo ya maji ya kuchemshia na tu chumvi.lakini ukipiga hesabu ya bei ya hindi moja ni Tsh 1000 na sambusa moja ni Tsh 1000. Sasa hapo ni aina ya kibwagizo au bei ya kibwagizo? Wacha muvi iendelee.
Ongeza gharama ya upishi.Kama yanatoka kwenye shamba la kijiji, lazima bei itakuwa chini ya buku,labda ndoo ya maji ya kuchemshia na tu chumvi.