Peculiar
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 821
- 689
TAJIRI aliamka asubuhi, akachungulia dirishani akamuona MASIKINI anaokota chakula jalalani. Tajiri akajisemea moyoni ,ASANTE MUNGU mimi si masikini.
Masikini nae alipogeuka nyuma, akamuona kichaa kavua nguo zote, masikini akajisemea,"ASANTE MUNGU mimi sio KICHAA.
Kichaa naye alipoangalia barabarani akaona ambulance ikipeleka mgonjwa hospitali... Kichaa pia akajisemea... "ASANTE MUNGU" mimi sio MGONJWA.
Mgonjwa naye alipoangalia nje akaona watu wamebeba MAITI wanaenda kuzika. Mgonjwa pia akajisemea, "ASANTE MUNGU" mimi sijafa.
Mshukuru Mungu ikiwa bado unapumua na kuvuta pumzi yake...
Sema... Asante Mungu.
Masikini nae alipogeuka nyuma, akamuona kichaa kavua nguo zote, masikini akajisemea,"ASANTE MUNGU mimi sio KICHAA.
Kichaa naye alipoangalia barabarani akaona ambulance ikipeleka mgonjwa hospitali... Kichaa pia akajisemea... "ASANTE MUNGU" mimi sio MGONJWA.
Mgonjwa naye alipoangalia nje akaona watu wamebeba MAITI wanaenda kuzika. Mgonjwa pia akajisemea, "ASANTE MUNGU" mimi sijafa.
Mshukuru Mungu ikiwa bado unapumua na kuvuta pumzi yake...
Sema... Asante Mungu.