Selection ya Kidato cha Tano mbona imechelewa?

Selection ya Kidato cha Tano mbona imechelewa?

mparange

Member
Joined
Nov 15, 2022
Posts
21
Reaction score
28
Selection ya Kidato cha Tano na Vyuo mwaka huu naona imechelewa, ingetoka mapema wazazi tujipange.
 
Mbona kawaida tu si mwezi wa 5 bado aujaisha wiki ijayo wanaweza wasiipitishe wakatoa mana c unajua hata mtiani wenyewe wa form 4 wengine wamemaliza mwezi huu wa 5 nafikili kama kusagisha itakua hata bado japo wanaweza wao wakawekwa lamda kwenye second selection
 
Mbona kawaida tu si mwezi wa 5 bado aujaisha wiki ijayo wanaweza wasiipitishe wakatoa mana c unajua hata mtiani wenyewe wa form 4 wengine wamemaliza mwezi huu wa 5 nafikili kama kusagisha itakua hata bado japo wanaweza wao wakawekwa lamda kwenye second selection
Uko nchi gani mkuu?
 
Back
Top Bottom