Habarini wadau, nina mdogo wangu amepata div I ya 14 pass ni kama zifuatazo:
Civ - B
Kiswa - B
Hist - C
Geo - C
Engl - B
Engl in Literature - C
Phy - C
Chem - B
Bios - A
Math - B
Dogo hataki kwenda Form V, anataka kwenda chuo moja kwa moja kwa kozi za afya. Je yupo sahihi wadau au nimng'ang'anie aende Form V? Pia wadau naombeni nisaidieni kuhusu selection za hivi vitu huwa zinatoka mwezi gani?
Civ - B
Kiswa - B
Hist - C
Geo - C
Engl - B
Engl in Literature - C
Phy - C
Chem - B
Bios - A
Math - B
Dogo hataki kwenda Form V, anataka kwenda chuo moja kwa moja kwa kozi za afya. Je yupo sahihi wadau au nimng'ang'anie aende Form V? Pia wadau naombeni nisaidieni kuhusu selection za hivi vitu huwa zinatoka mwezi gani?