Mkuu, nilienda wizarani kufuatilia kuhusu majina ya kutoka mkoa wa shinyanga na nikaambiwa kwamba bado hayaja wekwa kwenye mtandao.
Then nilipewa namba ya afisa Elimu wa mkoani pale na alinipatia majibu mujarab kabisa.
Mkuu, nilienda wizarani kufuatilia kuhusu majina ya kutoka mkoa wa shinyanga na nikaambiwa kwamba bado hayaja wekwa kwenye mtandao.
Then nilipewa namba ya afisa Elimu wa mkoani pale na alinipatia majibu mujarab kabisa.