Selection form five

Selection form five

Ccc ...unaenda hata kama ni 25
 
Ccc ...unaenda hata kama ni 25

Unatakiwa uwe umepata C tano na kati ya hizotwe tano kwenye combinatiuwe na at least C flat yaani CCCunapatunapata post ya kwenda government school, mfano ikatokea umepata CCD au ACD au AAD hauwezi soma iyo combination hata kama umepata division one ya saba, vigezo na masharti kuzingatiwa. Labda uende kwenye shule za kulipia na hautokuwa fresh from school, itakuwa private candidate(PC)
 
Unatakiwa uwe umepata C tano na kati ya hizotwe tano kwenye combinatiuwe na at least C flat yaani CCCunapatunapata post ya kwenda government school, mfano ikatokea umepata CCD au ACD au AAD hauwezi soma iyo combination hata kama umepata division one ya saba, vigezo na masharti kuzingatiwa. Labda uende kwenye shule za kulipia na hautokuwa fresh from school, itakuwa private candidate(PC)
Kwani C na D IPI kubwa?
 
Unatakiwa uwe umepata C tano na kati ya hizotwe tano kwenye combinatiuwe na at least C flat yaani CCCunapatunapata post ya kwenda government school, mfano ikatokea umepata CCD au ACD au AAD hauwezi soma iyo combination hata kama umepata division one ya saba, vigezo na masharti kuzingatiwa. Labda uende kwenye shule za kulipia na hautokuwa fresh from school, itakuwa private candidate(PC)
ACHA KUPOTOSHA
min point n 10 yaaan CCD ktka komb!!
Point zisome 10 hata AAD unasoma!!
Point zinaanzia 3>10
Ila kama una F ndiyo hutoweza kusoma!! Na kama una D mbili katika komb huwez kusoma!!!
Kwani hujuh D ni pass????
 
Ccc ...unaenda hata kama ni 25
Tangu mwaka juzi
Wengi waliopata 3 hasa za 24>24
Walikosa shule!!
Na wengi walienda third up to second selection!!
Ko ufup advance ukitaka kwenda first select bila khofu pata 1 up 2 hizo 3duuh Mungu akuone
 
Three ya 23 na ukibalance comb una wez kwenda form five kwa gvt??
Its depend na ufaulu also na jinsia yako
But kwa miaka ya hivi karibuni wengi wanaoenda advance first selection ni wale walio pata 1$2
Hao wa 3 Mara nying n second selection
 
Civ D, Hist C, Kisw C, Engl C, Bios C, Geo D, Math F ukipat hv kunakwep na uwezekano wa kuchaguliwa hata kwa Second & Third selection??
 
Three ya 23 na ukibalance comb una wez kwenda form five kwa gvt??
Ndio unaenda ila Mara nying inategemea na walio faulu n wanao taka shule za gvt kama ni wengi na wana vigezo kukuzdi bas nafas zinazdi kua finyu
 
Unatakiwa uwe umepata C tano na kati ya hizotwe tano kwenye combinatiuwe na at least C flat yaani CCCunapatunapata post ya kwenda government school, mfano ikatokea umepata CCD au ACD au AAD hauwezi soma iyo combination hata kama umepata division one ya saba, vigezo na masharti kuzingatiwa. Labda uende kwenye shule za kulipia na hautokuwa fresh from school, itakuwa private candidate(PC)

Kwo kam umepta C 4 na C 3 ndo zinahusk na Comb ulobalance hakun uwezekano wa kuchaguliwa??
 
Ndio unaenda ila Mara nying inategemea na walio faulu n wanao taka shule za gvt kama ni wengi na wana vigezo kukuzdi bas nafas zinazdi kua finyu
Veep kama ukiwa 25 na una C 4 pia umebalance comb uwezekan wa kuchaguliw unaweza kuwep ??
 
Veep kama ukiwa 25 na una C 4 pia umebalance comb uwezekan wa kuchaguliw unaweza kuwep ??
Ndyoo unapata kwang mm naona utapata maana shule ni nying sana za advance sa hiv .japo mazngra ya shule nying utazan ni kambi ya makomandooo kuanzia Maji mpak walimu na mabwen ni shida sana
 
Ndyoo unapata kwang mm naona utapata maana shule ni nying sana za advance sa hiv .japo mazngra ya shule nying utazan ni kambi ya makomandooo kuanzia Maji mpak walimu na mabwen ni shida sana
Hahahahahahahahahahahhahahhaahaaaa.

Umenikumbusha shule moja hivi daaaah
ukipangiwa hiyo JKT hauendi kupata taabu
 
Kwa matokeo hayo nenda chuo acha kupoteza mda advance
 
Back
Top Bottom