Sekta binafsi wataingamiza CCM kabisa

Sekta binafsi wataingamiza CCM kabisa

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,956
Reaction score
3,245
Sekta binafsi wamekuwa na kiburi sana, hawataki kuongeza mishahara kadri Bunge lilivyopitisha sheria.

Sasa wafanyakazi hawatapenda kuangamia katika mfumuko wa bei wakati serikali haiwajali.

Pia NSSF nao ni wazushi, hawana msaada wowote.

TUCTA nao kiini macho
 
Mkuu yote hii ni mipango ya Mungu, ni lazima yatokee,,,,Kumbuka Mungu alimpa Moyo Mgumu Pharaoh ili amfuate Mussa na Majeshi yake Bahari ya Shamu, Mussa alipovuka na majeshi ya Pharaoh wapo katikati ya maji,,,,Bahari ikakutana tena,,,MAJESHI YA PHARAOH YAKAANGAMIA,,,,ndio kinachotokea kwa CCM,,,,It should die by HOOKS AND CROOKS. 2015 ni CHADEMA tu
 
Sekta binafsi wamekuwa na kiburi sana, hawataki kuongeza mishahara kadri Bunge lilivyopitisha sheria.

Sasa wafanyakazi hawatapenda kuangamia katika mfumuko wa bei wakati serikali haiwajali.

Pia NSSF nao ni wazushi, hawana msaada wowote.

TUCTA nao kiini macho

Kwa Bunge lilipandisha mishahara? Hiyo sekta binafsi kama biashara haijakua wataongeza mshahara toka mapato yepi? MPadmire
 
Sekta binafsi wamekuwa na kiburi sana, hawataki kuongeza mishahara kadri Bunge lilivyopitisha sheria.

Sasa wafanyakazi hawatapenda kuangamia katika mfumuko wa bei wakati serikali haiwajali.

Pia NSSF nao ni wazushi, hawana msaada wowote.

TUCTA nao kiini macho

kwani sekta ya umma wameongeza mishahara ?
 
Kazi Bunge ni kutunga sheria ambayo hutekelezwa na serikali.

Serikali ndo husimamia sekta binafsi

Ndio, sekta ya UMMA waliongezewa, fuatililia HANSARD ya BUnge
 
Back
Top Bottom