Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
- Thread starter
- #21
.
Kwani hao wajumbe wa sekretarieti wanatakiwa kuwa wangapi ili labda wawakilishe ama ukanda, mkoa, wilaya jimbo la ubunge au kata?
.
Mkuu mimi sijui mantiki ya kuweka wanapotoka. Na hilo ndilo swali langu kuu. Kama ni kwamba sekretariat ya CHADEMA ina uwakilishi wa kimkoa ama kikanda sijui