Sekretarieti ya CCM: Hatua ya kwanza

Sekretarieti ya CCM: Hatua ya kwanza

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubungo majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Mzee tupatupa tutafutane aisee kama upo arusha?
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubungo majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Watu tunashida zetu bana, tusikilize zao za nini.........???????😛eace:
 
Ha ha ha.. Wanaanza na madogo kwanza.. Waruke ruke watafika tu pale pa kuchinjana wenyewe kwa wenyewe..
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Mzee wangu leo sijakusikia toka asubuhi mpaka nimemiss hoja zako...Sasa umeona ile Hotuba ya nduguyo Tundu wa Lissu?Naona kama ameweka mashimo mengi zaidi UPANDE ule wetu ukifikiria tena kuna MJUKUU wako huko Njombe kadunguliwa na ile mashine nzito wanayobeba wale watoto wa nani hii yule nani vile........Akapoteza maisha .Mjukuu huyu ana miaka 27 tu,sasa sijui mpaka ifike October 2015 wajukuu zako watakuwa wapo hai..........

Na huyu wa kike naye naona yuko busy anatangaza nia ya Ubunge na anatokea chama cha upinzani.........sijui itakuwaje hebu jaribu kumueleza Mwenyekiti kwa sasa TUNAOMBA KUWE NA HAKI SAWA kwa wote ili wajukuu zako waishi maisha marefu kama wenzao............Hilo tu Mzee wangu........
 
Hii siyo habari kwa sasa! Jambo pekee tunalotaka kujua ni: Is Lowassa IN or OUT ?????? Tunataka kujua kwamba, Chama Cha Mapinduzi, kinaweza kweli kumpitisha Mtoa Rushwa NA.1 na Fisadi papa Lowassa, kuwa mgombea Urais, ambaye pia ndiye atakayekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, ambacho kiapo chake cha nne katika viapo vyake vya wanachama, kinasema,"RUSHWA NI ADUI WA HAKI. SITAPOKEA WALA KUTOA RUSHWA", au atatupwa katika hatua za mwanzo za mchakato??????
 
Hii siyo habari kwa sasa! Jambo pekee tunalotaka kujua ni: Is Lowassa IN or OUT ?????? Tunataka kujua kwamba, Chama Cha Mapinduzi, kinaweza kweli kumpitisha Mtoa Rushwa NA.1 na Fisadi papa Lowassa, kuwa mgombea Urais, ambaye pia ndiye atakayekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, ambacho kiapo chake cha nne katika viapo vyake vya wanachama, kinasema,"RUSHWA NI ADUI WA HAKI. SITAPOKEA WALA KUTOA RUSHWA", au atatupwa katika hatua za mwanzo za mchakato??????
yah ni kweli. Ukipata tu majibu usinisahau namimi kuwa wa kwanza kufahamu
 
ccm ni chama taasisi sio hayo ma saccos yenu ya ufipa nk
 
Mzee wangu leo sijakusikia toka asubuhi mpaka nimemiss hoja zako...Sasa umeona ile Hotuba ya nduguyo Tundu wa Lissu?Naona kama ameweka mashimo mengi zaidi UPANDE ule wetu ukifikiria tena kuna MJUKUU wako huko Njombe kadunguliwa na ile mashine nzito wanayobeba wale watoto wa nani hii yule nani vile........Akapoteza maisha .Mjukuu huyu ana miaka 27 tu,sasa sijui mpaka ifike October 2015 wajukuu zako watakuwa wapo hai..........

Na huyu wa kike naye naona yuko busy anatangaza nia ya Ubunge na anatokea chama cha upinzani.........sijui itakuwaje hebu jaribu kumueleza Mwenyekiti kwa sasa TUNAOMBA KUWE NA HAKI SAWA kwa wote ili wajukuu zako waishi maisha marefu kama wenzao............Hilo tu Mzee wangu........

Binti yangu Tetty,nimeguswa na Hotuba ya Lissu na yanayojiri Njombe. Jua hivyo tu kwasasa. Rose Mayemba ni mwanamke imara. Naishia hapo

Mzee Tupatupa
 
Last edited by a moderator:
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
unajitahidi sana kuwa mbunifu na kutabiri nyota
 
Binti yangu Tetty,nimeguswa na Hotuba ya Lissu na yanayojiri Njombe. Jua hivyo tu kwasasa. Rose Mayemba ni mwanamke imara. Naishia hapo

Mzee Tupatupa

Asante.Sasa ninauhakika wa wale wajukuu zako kuendelea KUISHI japo kwa misukosuko lakini wataishi tu.:smile-big::smile-big:
 
Salama ya CCM ni kusimamisha rais ambaye anakubalika pande zote za wapigakura majimboni (CCM na Chadema)...historia inaonyesha huyu si mwingine bali ni JP Magufuli...hiyo ndo salama ya CCM...vinginevyo wakae tayari kukabidhi kijiti kwa UKAWA
 
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.

Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.

Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

CCM kwa maigizo hawajambo. Kwanza mimi binafsi siamini kwamba CCM itashinda uchaguzi mkuu wa 2015.

But for the sake of argument tu assume kwamba CCM watashinda.

Rais mteule huwa ana nafasi KUMI TU za wabunge wa kuteuliwa. Usanii unaanzia hapa.

Kwa haraka angalia wana-CCM ambao tayari wametangaza nia kugombea urais ni zaidi ya 10, ambayo sasa secretariat ya CCM imewaahidi kuwazawadia nafasi KUMI za ubunge wa Rais
  1. Mizengo Pianda
  2. Edward Lowassa
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Hamis Kigwangala
  5. Prof Mark Mwandosya
  6. William Ngereja
  7. Prof Sospeter Muhongo
  8. Prof Anna Tibaiujuka
  9. Pombe Magufuri
  10. Lazaro Nyalandu
  11. Frederick Sumaye
  12. Benard Membe
  13. Steven Wassira
  14. Samuel Sitta
  15. Harrison Mwakyembe
  16. Asha Rose Migiro
  17. January Makamba
  18. The list goes on you can add more.....

Wote hawa wameahidiwa ubunge wa Rais! CCM baadaya kuwadanganya watanzania kwa miongo mingi sasa ameamua kujidanganaya yenyewe!

Kweli ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha kamwe!
 
Back
Top Bottom