Sekretarieti ya ajira zingatieni fani katika kuita wasaili husika kwenye kazi

Desire mobutu seseseko

JF-Expert Member
Aug 21, 2018
975
1,393
Haya ni makusudi ya wazi kwa Secretariat ya ajira kutangaza kazi za airport operations kwenda kufanywa na watu waliosoma laws huku wataalam wa LT wakiachwa

Hapa Kuna mawili yawezekana watu waliopewa dhamana hii yakusimamia recruitment hawafit kwenye hizo position au wanachukulia liwalo na liwe

Kwasababu kumpeleka mtu wa law kwenda kufanya kazi za operation nikuitia hasara serikali na matumizi mabaya ya rasilimali watu mwisho tunapelekea shirika kufanya kazi chini ya kiwango kwani hata maswali wanayouliza kwenye interview ni maswali yakawaida tu

Watu wanaletewa maswali ya research ili wakafanye kazi za operations badala hakuuliza Mambo ya msingi kwenye taaluma husika. Non sense kabisa.

Na wanafunzi wameshajua wanaitwa kwenye kazi ambazo sio za field zao walizosomea wanaenda kwakuwa wanajua watakutana na maswali ya research tu lakini wangekuwa wanaitwa halafu wanakutana na maswali ya professionalism walai wasinge kwenda.

Secretariat jitathmni huwezi letewa tangazo la ajira na ukalitangaza bila kulifanyia amendment za creteria.lazima wakae watu wa professional tofauti tofauti ili kusaidia haya Mambo huko kwenye ofisi za Secretariat ya ajira ili kumaliza hii mijadara

mnakera saana!!

#COPIED FROM SOMEWHERE!
 
Haya ni makusudi ya wazi kwa Secretariat ya ajira kutangaza kazi za airport operations kwenda kufanywa na watu waliosoma laws huku wataalam wa LT wakiachwa

Hapa Kuna mawili yawezekana watu waliopewa dhamana hii yakusimamia recruitment hawafit kwenye hizo position au wanachukulia liwalo na liwe

Kwasababu kumpeleka mtu wa law kwenda kufanya kazi za operation nikuitia hasara serikali na matumizi mabaya ya rasilimali watu mwisho tunapelekea shirika kufanya kazi chini ya kiwango kwani hata maswali wanayouliza kwenye interview ni maswali yakawaida tu

Watu wanaletewa maswali ya research ili wakafanye kazi za operations badala hakuuliza Mambo ya msingi kwenye taaluma husika. Non sense kabisa.

Na wanafunzi wameshajua wanaitwa kwenye kazi ambazo sio za field zao walizosomea wanaenda kwakuwa wanajua watakutana na maswali ya research tu lakini wangekuwa wanaitwa halafu wanakutana na maswali ya professionalism walai wasinge kwenda.

Secretariat jitathmni huwezi letewa tangazo la ajira na ukalitangaza bila kulifanyia amendment za creteria.lazima wakae watu wa professional tofauti tofauti ili kusaidia haya Mambo huko kwenye ofisi za Secretariat ya ajira ili kumaliza hii mijadara

mnakera saana!!

#COPIED FROM SOMEWHERE!
Waulize walipoenda TPA walikutana na nn
 
Ungeuliza Kwanza au ukafanya utafiti kwanza ndo ukaja kulalamika apa.. Hivi ushawahi kukutana na written ya operation officer jinsi maswali yake yalivyo? Eti we unasema ni ya research kafanye utafiti kwanza maana kila unachoandika kitaonekana nonsense.. Alafu issue ya kuitolea mfano law sijapenda kwa kweli. Ni hekima Kama ukiandika hoja kwa kutetea kada moja bila kuikandamiza nyingine
omba kazi kulingana na kada yako.. hao utumishi wanachanganya kozi kwenye hizo post ..kuwapoteza tu.. sasa jichanganye.. kazi ya airport operation officer ni za watu wa transport sasa we na sheria yako unaombajee??? kisa umewekwa kwenye list?? lazima uchome nauli..au ukatalii Dom
 
Oya wadau, halafu hizi barua tunazo upload ajira portal ni lazima tuzitype au tunaweza kuandika hata kwa mkono tu ?
 
Back
Top Bottom