Sekretariat ya ajira mnatisha

Sekretariat ya ajira mnatisha

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
180
watz wote tunahtaj mabadiliko kwa sababu hii sekretariate ya ajira wanapotezea watz muda na hela,hebu wabunge tusaidieni haiwezekan nafasi 1 mnashortlist watu 400,kweli kijana asafir kutoka mbeya mpaka dar kwa hali hyo,pili mitihan yenu utadhan watu wametoka chuo jana,kwa nini msitengeneze practical question ambazo zipo makazini kama ni kupima watu,cha ajabu kingne mnasahihsha na mashine au mkono haiwezekan watu 200 au 400 mtihan umefanyka asbh jion majibu yapo internet!wasi wasi wangu lazima kutakuwa na hujuma au kuna mambo ambayo yanafanyika! Kwa kweli interview za namna hii bora niendelee kuwa wakala wa mpesa au tgo pesa!kaz ipo naamin RAIS AJAYE ATAFUTA MFUMO HUU
 
Izi shughuli za uajili serikali ingewaaachia private sector kwa mtindo wa ku outsource yenyewe haiziwezi...delloite hawawezi fanya upuuzi km iyo tume badhilifu.
 
Izi shughuli za uajili serikali ingewaaachia private sector kwa mtindo wa ku outsource yenyewe haiziwezi...delloite hawawezi fanya upuuzi km iyo tume badhilifu.

Muungwana.

Kila jambo halikosi CHANGAMOTO. Zamani kabla ya Sekretariat ya Ajira, ulikuwa huwezi kuziona nafasi NYETI za serikali zikitangazwa. Nyingi zilikuwa za kuteuana au kuajiri kimya kimya. Mfano juzi juzi wametangaza Nafasi ya DG wa TBS ambaye zamani alikuwa anateuliwa tu.

Pili, Sekretariat inachofanya ni kuchukua Scheme of Service ya Taasisi husika kulingana na Nafasi fulani. Na kuitangaza then WENYE SIFA NA VIGEZO wanaitwa. THATS ALL NA SINGINEVYO

Natoa HOJA.
 
Muungwana.

Kila jambo halikosi CHANGAMOTO. Zamani kabla ya Sekretariat ya Ajira, ulikuwa huwezi kuziona nafasi NYETI za serikali zikitangazwa. Nyingi zilikuwa za kuteuana au kuajiri kimya kimya. Mfano juzi juzi wametangaza Nafasi ya DG wa TBS ambaye zamani alikuwa anateuliwa tu.

Pili, Sekretariat inachofanya ni kuchukua Scheme of Service ya Taasisi husika kulingana na Nafasi fulani. Na kuitangaza then WENYE SIFA NA VIGEZO wanaitwa. THATS ALL NA SINGINEVYO

Natoa HOJA.

why 400 kwa nafasi 1,huoni kama kuwapotezea muda watu,nipe sababu tano za kunishawish kati ya watu 400 unahtaj moja kwa nini usiite hata watu 15 kisayansi kwa kuangalia cv zao na vigezo vinavyohtajika. Unadhan wakiitangaza kama hyo ya tbs utapata kama hauko kwenye mfumo,sio rahs kama unavyofikiri,hapo zaman halmashaur zilikuwa zikiajir zenyewe na hakukuwa na orodha ndefu
 
Mimi sijui kama nitaomba tena kazi sekretari ya ajira bora nijiajiri. Imejaa ubaguxi kazi inatangazwa ila watu wameshajitiw .. Imagine upeaplly kazi hio hio na myoto wa waziri ama balozi unategemea nini?
Tanzania bado kabisa
 
mfano mzuri hv cbe,au necta au dit au muce au kibaha kama wanahtaj network administrator wangeshortlist 400,wapewe mamlaka wao,si umeona za open, muhimbili,mnaitwa watu 6 kwa nafasi moja tena hamna mtihan,issue sio kuita watu wengi kikubwa wanasifa zile,lengo kubwa la sekretariat ni kupata takwimu kubwa siku za usoni,na kuita watu wengi hujasolve tatizo la ajira.
 
why 400 kwa nafasi 1,huoni kama kuwapotezea muda watu,nipe sababu tano za kunishawish kati ya watu 400 unahtaj moja kwa nini usiite hata watu 15 kisayansi kwa kuangalia cv zao na vigezo vinavyohtajika. Unadhan wakiitangaza kama hyo ya tbs utapata kama hauko kwenye mfumo,sio rahs kama unavyofikiri,hapo zaman halmashaur zilikuwa zikiajir zenyewe na hakukuwa na orodha ndefu

kisendi...nakujibu kama ifuatavyo

1. Soma japo kidogo mwongozo wa selikali ambao kila tangazo la Sekretariat huwepo:
Applicants for entry levels have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
Sekretariat wanatumia mwongozo huu kuita watu wote walioomba nafasi ya entry level katika utumishi wa umma.

Mfano:
Anahitajika HR OFFICER III au IT OFFICER II au nafasi yote yenye FIRST ENTRY. Kigezo ni kuwa na Bachelor Degree tu. Wanaaply watu 300 na wote wana degree. Hivyo wanawachukua wote na kuwapima kwa mtihani wa kuandika, then wanachukua hadi 10 au 15 kwa Usaili wa ana kwa ana.

2. Kwa nafasi ambazo si za kuanzia wanaita watu 3 hadi 8 kulingana na nafasi, LAKINI WENYE VIGEZO VYOTE vilivyoandikwa kwenye tangazo HUSIKA na si vinginevyo.

3. Kama una VIGEZO VYOTE ni vyema kuomba na ujionee mwenyewe na si KUWA NA HISIA HASI.

4. Kila kwenye JAMBO hakukosekani changamoto

Natoa HOJA
 
kwa sasa ni kukamaa kujiajiri tu..labda uongoz wa nchi ubadilike.Nafasi hizi kubwa,nzur nzur wanashift waliomo kwenye mfumo! Kwa hyo kutangaza ni kama geresha ndugu yangu,hyo Tbs wanachukua mtu ambaye watamcontrol.
 
kisendi...nakujibu kama ifuatavyo

1. Soma japo kidogo mwongozo wa selikali ambao kila tangazo la Sekretariat huwepo:
Applicants for entry levels have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
Sekretariat wanatumia mwongozo huu kuita watu wote walioomba nafasi ya entry level katika utumishi wa umma.

Mfano:
Anahitajika HR OFFICER III au IT OFFICER II au nafasi yote yenye FIRST ENTRY. Kigezo ni kuwa na Bachelor Degree tu. Wanaaply watu 300 na wote wana degree. Hivyo wanawachukua wote na kuwapima kwa mtihani wa kuandika, then wanachukua hadi 10 au 15 kwa Usaili wa ana kwa ana.

2. Kwa nafasi ambazo si za kuanzia wanaita watu 3 hadi 8 kulingana na nafasi, LAKINI WENYE VIGEZO VYOTE vilivyoandikwa kwenye tangazo HUSIKA na si vinginevyo.

3. Kama una VIGEZO VYOTE ni vyema kuomba na ujionee mwenyewe na si KUWA NA HISIA HASI.

4. Kila kwenye JAMBO hakukosekani changamoto

Natoa HOJA
we uko pale
 
I think secretariat ya ajira imefanya kazi nzuri sana kuweka public ajira ambazo zisingeweza kuwa wazi kiasi hiki, pili procedure inayofuata ni ileile ya good procurement ya services

changamoto kubwa waliyonayo ni strategic sourcing, na njia rahisi kwao ilitakiwa kuwa na zonal sourcing schemes, hii ya 400 shortlisted, sidhani kama ni tatizo kwani wanaweka opportunity to MORE TANZANIANS TO TRY

as for practical questions in interviews... HILI NI TATIZO LA KITAIFA KABISA, sometimes hata huko Delloite, KPMG huwa wana-dwell kwenye hayo

our system bado inastruggle kutumia applied knowledge kabisa
 
kwa sasa ni kukamaa kujiajiri tu..labda uongoz wa nchi ubadilike.Nafasi hizi kubwa,nzur nzur wanashift waliomo kwenye mfumo! Kwa hyo kutangaza ni kama geresha ndugu yangu,hyo Tbs wanachukua mtu ambaye watamcontrol.

Acha woga Muungwana
 
Bt mbona so many guys of us wamepata pale na tukisota wote kitaa? Mi nadhani they are doing fair enough kwa the way wanavyoenda!!! Big Up sana Sekretariat
 
Bt mbona so many guys of us wamepata pale na tukisota wote kitaa? Mi nadhani they are doing fair enough kwa the way wanavyoenda!!! Big Up sana Sekretariat

NI kweli mkuu, vijana wengi tu ambao si ajabu wala wasingejua kuna nafasi na kuomba wamepita na kupata ajira through hii secretariat

kama alivyosema mapinduzi daima, changamoto hazikosekani
 
kisendi...nakujibu kama ifuatavyo

1. Soma japo kidogo mwongozo wa selikali ambao kila tangazo la Sekretariat huwepo:
Applicants for entry levels have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
Sekretariat wanatumia mwongozo huu kuita watu wote walioomba nafasi ya entry level katika utumishi wa umma.

Mfano:
Anahitajika HR OFFICER III au IT OFFICER II au nafasi yote yenye FIRST ENTRY. Kigezo ni kuwa na Bachelor Degree tu. Wanaaply watu 300 na wote wana degree. Hivyo wanawachukua wote na kuwapima kwa mtihani wa kuandika, then wanachukua hadi 10 au 15 kwa Usaili wa ana kwa ana.

2. Kwa nafasi ambazo si za kuanzia wanaita watu 3 hadi 8 kulingana na nafasi, LAKINI WENYE VIGEZO VYOTE vilivyoandikwa kwenye tangazo HUSIKA na si vinginevyo.

3. Kama una VIGEZO VYOTE ni vyema kuomba na ujionee mwenyewe na si KUWA NA HISIA HASI.

4. Kila kwenye JAMBO hakukosekani changamoto

Natoa HOJA
wewe tunajua umetumwa na wizara sasa acha kutetea ujinga, na stil haupati point hapo hizo '' Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.'' huo sio msahafu kwamba haubadiliki hio secretariate ya ajira haijaanzishwa muda mrefu sio stil ipo katika process ya learning as well what we are saying ni kwamba hauwezi kujastifai hata siku moja nafasi moja ukaita watu 400 kutoka monduli shinyanga, mbeya in the name kwamba kila mtu anavigezo,chukueni zile 10 au 15 za kwanza wafanyieni interview, watu wengine wataajiliwa sehemu nyingine au nafasi zingine zitakazotangazwa tena baadae, bila kupoteza muda wa watu na muda wenu na hela nyingi kwenye hio mitihani yenu, kama hamziamini university si muanzishe uni yenu ya utumishi, tuache hii tabia ya kiegemea sana kwenye ma theory, na watu sasa wafundishwe practicle ili waweze hata ku compite kwenye mashirika mengine binafsi, na kama mitihani ndio solution ungekuta sector za serikali zinafanya vizuri but unfortunately ndiko kubovu kupitiliza na sector binafsi ndio zinafanya vizuri hata hawataki hio mitihani cos they believe in their university certificate tu kinachobaki ni practicle tu. please badilikeni wafundisheni vijana kazi na sio kuwafundisha kuandika maana wanajua tayari kutoka mashuleni.
 
kwa sasa ni kukamaa kujiajiri tu..labda uongoz wa nchi ubadilike.Nafasi hizi kubwa,nzur nzur wanashift waliomo kwenye mfumo! Kwa hyo kutangaza ni kama geresha ndugu yangu,hyo Tbs wanachukua mtu ambaye watamcontrol.

ni kawaida ya watanzania kulalamika,tume ya ajira kwa kweli imesaidia sana sana.Zamani ajira zilikuwa zinatolewa kwa kuangalia ukabila sana na mambo mengine ya kishenzi,leo hii hata watoto wa makabwela tunapata kazi.Sasa wewe kisendi sijui unataka nini? Tume hii imeondoa ushenzi mwingi sana
 
wewe tunajua umetumwa na wizara sasa acha kutetea ujinga, na stil haupati point hapo hizo '' Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.'' huo sio msahafu kwamba haubadiliki hio secretariate ya ajira haijaanzishwa muda mrefu sio stil ipo katika process ya learning as well what we are saying ni kwamba hauwezi kujastifai hata siku moja nafasi moja ukaita watu 400 kutoka monduli shinyanga, mbeya in the name kwamba kila mtu anavigezo,chukueni zile 10 au 15 za kwanza wafanyieni interview, watu wengine wataajiliwa sehemu nyingine au nafasi zingine zitakazotangazwa tena baadae, bila kupoteza muda wa watu na muda wenu na hela nyingi kwenye hio mitihani yenu, kama hamziamini university si muanzishe uni yenu ya utumishi, tuache hii tabia ya kiegemea sana kwenye ma theory, na watu sasa wafundishwe practicle ili waweze hata ku compite kwenye mashirika mengine binafsi, na kama mitihani ndio solution ungekuta sector za serikali zinafanya vizuri but unfortunately ndiko kubovu kupitiliza na sector binafsi ndio zinafanya vizuri hata hawataki hio mitihani cos they believe in their university certificate tu kinachobaki ni practicle tu. please badilikeni wafundisheni vijana kazi na sio kuwafundisha kuandika maana wanajua tayari kutoka mashuleni.

ke/me punguza jazba, kukosa kazi kusikukoseshe hekimatele.

nawapongeza sana utumishi na wanafanya vizuri kuwapa mitihani, kwani wengi wenu mna vyeti vya kuibia tu. Na mitihani yenyewe mbona rahisi hivyo kuliko hiyo ya practical unayolilia? Eh..Na Utumishi hawafundishi kazi wao wanatafuta wafanyakazi tu wenye vigezo. Kazi ya ufanisi wa mfanyakazi linapimwa na shirika linalo ajiri. Merde!
 
Back
Top Bottom