Kwa muda mrefu magic fm 92.9 wamekuwa wakiitangaza shule hii iliyopo Chamazi kama shule bora sana na ni barabara ya kwenda chuo kikuu.Biashara ni matangazo lakini wazazi wasioijua hii shule wanaweza kuingia chaka kwa kuiamini hii redio.
Matokeo ya form four 2017
Div 1= 0
Div 2=2
Div 3=24
Div 4=35
Div 0=1
Wazazi amkeni.Magic fm wao wamepata chao.
Matokeo ya form four 2017
Div 1= 0
Div 2=2
Div 3=24
Div 4=35
Div 0=1
Wazazi amkeni.Magic fm wao wamepata chao.