huwezi kusema mhitimu wa sekomu anafanana na mhitimu nwa form four ilboru, huo ni utindio wa ubongo unaokusumbua ,dogo fanya utafiti wa kutosha sifa za kuingianvyuo vikuu ni principal pass mbili au equivalent, then sekomu nao hawajiongozi uliziz external examiner, wanaofikaga pale watakuambia kwa mfano wanafunzi wanaosoma PHYSICS pale wanafundishwa na Dr.Mliyuka wa uko UDSM na anappriciate juhudi za wanaphysicits wa SEKOMU acha majigambo ndo maana nikasema ud mtajigamba sana wazeeeeeeeeeeeeeeee wa kudiscoooooooooooooooooooooo