Suleiman hatibu
Member
- Dec 22, 2017
- 51
- 18
Mkuu , eti Lipumba anaumwa nini ?Kwisha habari, tulimuonya Sana, akaweka pamba masikioni, acha aule wa chuya
Mkuu haumwi!Mkuu , eti Lipumba anaumwa nini ?
Anaumwa UKATA.Mkuu , eti Lipumba anaumwa nini ?
Hizo ni story za kitoto Ali Amer atakekuonana naye wa niniSio kweli, maalim seif hana mpango huo kabisa na kama atakuwa nao basi hatoweza kutumia watu hao kabisa katika kuyatafuta hayo mazungumzo.
Jengine ni kwamba hizo ndio mbinu za kumchafua maalim ili wananchi wanao unga mkono kwakwe wasimuamini, naamini kwamba maalim yupo imara na misimamo yake na maneno yake.
Hizo ni story za kitoto Ali Amer atakekuonana naye wa nini mtu mwenyewe amekwisha na wala Hana madaraka yoyote chamani .