UmenenaThis was predicted,biashara ya real estate bongo ilikuwa fake,watu waliokuwa na uwezo wa kununua majumba na viwanja walikuwa walewale,mtu moja ana viwanja 20,majumba kila kona yenye thamani ya over 100 millions.
Biashara ilikuwa fake sababu wateja wengi hawakuwa na vipato halali,kwahiyo ilijengwa kwenye matarajio fake,leo channel zimezibwa na biashara imeporomoka.
Una maana gani kusema ni nadra kukuta gari ya IT? Mimi huwa napita sana sokoine drive mida ya saa mbili usiku. Ukipita water front pale mbele kila siku nakuta gari za IT wanajiandaa kuondoka hadi trucks zipo.Watumishi wa uma hawafiki laki saba na kati ya hao kuna wengi tu hawakuwa na accès ya dili,sasa mtu kama mwalimu angepigaje dili. Kitu ambacho tuangalie ni makampuni mangapi yamefungwa. Mfano tu sasa hivi ni nadra kukuta gari ya IT. Hizi zilikuwa ni ajira za watu na ziliwezekana sabab yamuingiliano mkubwa. Mimi ukinambia kuwa amezuia mianya kwangu ntasema hapana ila anachofanya anajitengenezea tabaka lake. Kuna watu wanatengeneza pesa za wizi nyingi tu sasa hivi ila hawaguswi
Kariakoo nina rafiki zangu wanauza nguo. Milioni 100 kwa siku kwa mwenye frame sio kweli. Na wale Wakinga ambao wanawauzia hata wenye frame je watauza how much 100b?Mtu alikuwa na frame tatu,kipind hicho kulikuwa n'a wazambia, wazombikano, wazimbabwe, wamalawi walikuwa wanakuja kununua mizigo unakuta mtu anakuachia dukani mpaka million kumi, wakija ishirini kwa siku inakuwaje. Kitu kingine usiangalie mauzo tu faida je ? Unakuta nguo inauzwa 20000lakini ukija piga hesabu faida imebaki buku Kabla ya mkopo.kwenye hizo milion Mia unaweza baki na faida ya 3mil. Walichokuwa wanatarget ni mzunguko. Sasa hivi hakuna cha wamalawi wala wacongo wamebaki watu es mkoa ambao nao siku hizi wanapajua china. Zaid ya hapo nnimetoa sabab nyingine kuna wachina wanaleta mizigo wanawapa machinga wana magodown na hawakungulii kama hawakujui. Hawa hawalip hâta sent ya vat. Machinga sio hao tunawaona sio kuna vibopa wanaojiita machinga wanatembelea maprado kazi yao ni middlemen tu. Kama unamzigo mkubwa unawapa wanawasambazia watu wao wa mtaan
Duuuuu aiseee watu walikuwa na mihelaa kumbe mimi tu ndo nilikuwa maskiniAnyway nadhani nilijikita zaidi kwenye nyumba na viwanjais true kwamba hata biashara zimedoda,lakini bado sababu kubwa ni zile pesa za deals hakuna.
Nina rafiki yangu anabiashara yake pale Tx market kinondoni,ananiambia kuna wateja wake walikuwa wananunua bidhaa za week au mwezi,mmoja wapo ana mke na nyumba ndogo mbili,yaani jamaa anaenda dukani anaacha 1500000 ya nyumba kubwa,700000 nyumba ya kando na 700000 nyumba ya kando nyingine,monthly.
Mdogo Wangu anafanyia bforwad walikuwa wanaweza kuingiza gari mpaka 2000kwa meli moja nyingi zikiwa za il. Sasa hivi wakipokea saana ni gari 500 kwa meli washafunga baadhi ya ofis. Wewe unasema huwa unaziona ndo maana nikasema ni nadra nikilinganisha na zaman.Una maana gani kusema ni nadra kukuta gari ya IT? Mimi huwa napita sana sokoine drive mida ya saa mbili usiku. Ukipita water front pale mbele kila siku nakuta gari za IT wanajiandaa kuondoka hadi trucks zipo.
Sikia kijana, mimi sijaajiriwa nafanya biashara. Napata gross profit up to 50%,net around 30%.Mdo
Mdogo Wangu anafanyia bforwad walikuwa wanaweza kuingiza gari mpaka 2000kwa meli moja nyingi zikiwa za il. Sasa hivi wakipokea saana ni gari 500 kwa meli washafunga baadhi ya ofis. Wewe unasema huwa unaziona ndo maana nikasema ni nadra nikilinganisha na zaman.
Umezungumzia kariakoo,wewe unashangaaa hiyo faida,nimeifanya kama sample ila jua kuwa nguo za jumla kariakoo faida yake ni ndogo sana. Nasema hivo Nikiwa na uzoefu nimetoa nguo kupeleka Nampula na lubumbashi, kuna kipindi nikaingia tamia ya kufungua kariakoo nilifunga baada ya miezi maana unajikuta unakuwa mtumwa wa Safari at the End faida ilikuwa haifikii hata nusu ya huko kwingine. Ni ngumu sana kuelewa hasa kwa watu wako na ajira maaana nyinyi mnapigia hesabu ya mauzo. Unashangaa mauzo hayo je yule anayezungusha basi na mil600 mwisho es siku anatoka n'a mauzo ya 2mil. Akija toa gharama zote abaki na mil
sio kihivo wenzio waliangalia mzunguko sana na wengi walikimbilia kwenye mabenk kama mwokozi. fikiria,uchukue mkopo wa 500mil na faida icheze mili 3mil per day kwa siku 21 kwa mwezi una 64mil. mkopo wa miaka mitatu utacheza na return ya kama 23-26mil kwa mwez anabaki na kiasi gani kati ya 64mil. faida ilikuwepo ndo maana walikuwa na uwezo wa kurejesha.Sikia kijana, mimi sijaajiriwa nafanya biashara. Napata gross profit up to 50%,net around 30%.
Sasa wewe unaweka 100m faida ni 3m thats 3%, hapo mwisho unasema 600m unapata 2m?! Hio ni biashara kichaa. Nilitaka kufanya hio biashara ya nguo kariakoo ila logistics zake ndio zilikuwa ngumu kidogo lakini ningejua kuwa faida ni hio wala nisingejisumbua.
muda ukifika tutakuwa kama wa ethiopia ambao wanakimbia kwao kwa sabab hakuna hela, pesa yote iko kwenye madegeMuda ukifika wote mtakubali na mtafurahi.