Secret and questions behind Charlie Hebdo attack


Sasa mkuu mfano nikikuuliza kwanini na mambo ya ushoga/usagaji yanahusishwa kwenye ukristo tu na si dini nyengine je,utanipa jibu gani?
 
Sasa mkuu mfano nikikuuliza kwanini na mambo ya ushoga/usagaji yanahusishwa kwenye ukristo tu na si dini nyengine je,utanipa jibu gani?
Ushoga na Usenge ni mambo ya Waislam. Kama kuna Mkristo anayafanya hayo basi ni kwa kumwiga Muislam
 
Wameelewa
 
Ushoga na Usenge ni mambo ya Waislam. Kama kuna Mkristo anayafanya hayo basi ni kwa kumwiga Muislam
Ushoga uko mwingi makanisani,na pia unafuatwa na viongozi wakubwa wa nchi zilizotoka hayo makanisa.
 

Unasema mengi lkn nami nijaribu kuchangia, uislam unamaamlisho mengi yasiyo safi. Na siyo dini ya amani kama unavyoeleza, ina watenga watu wa jamii ya kiyahudi na kuwasema si watu wa karibu na dini hiyo lkn pia haina uwazi kwa wakristo ambao wanaitwa watu wa kitabu. Na kibaya zaidi Mungu wa huku anayetewa na watu. Inampa mwanya mtu mbaya na mwenye mawazo ya kishetani kutekeleza uovu wake akidhani anatetea maamlisho. Hizi ndizo zama za uovu huu kusimama Mungu wa kweli atatatetea Watu wake. Nadhani umenielewa hakuna amani kama kuna utengano wa makundi ya kijamii. Katika imani yako
 
Sasa mkuu mfano nikikuuliza kwanini na mambo ya ushoga/usagaji yanahusishwa kwenye ukristo tu na si dini nyengine je,utanipa jibu gani?

Mfano wako uko nje ya context

Mashoga hawafanyi hivyo na kutangaza kufanya hivyo kwasababu Mungu wa Kwenye Biblia amewatuma hivyo

Hakuna mahali popote mashoga wamedai kwamba wao wanajisikia raha kufanya hivyo kwasababu wanapofanya hivyo wanamtumikia Mungu wa kwenye Biblia

Hao wanaofanya ushoga wanafanya hivyo kwasababu zao binafsi na wala huo ushoga wao hawauhusishi na imani yao bali wanafanya hivyo kwasababu zao wenyewe

Hata hivyo,tikiwakusanya mashoga wote duniani mashoga ambao ni viongozi wa imani ya Kikristo sio wengi kama watu wa kawaida na kwasababu hiyo ushoga ni suala la watu fulani ambao hawajajihusisha na imani yoyote!
 
Ushoga uko mwingi makanisani,na pia unafuatwa na viongozi wakubwa wa nchi zilizotoka hayo makanisa.

Wanafanya ushoga kwasababu za kidini kama Boko Haram,ISIS/ISIL na makundi mengine yanavyofanya ugaidi kwasababu za kidini?
 

shehe PONDA, ILUNGA et al wao ni product ya nani ?
 

Wakat mzuri sana mkuu...sasa niwekee hayo maamrisho yasio safi hapa..kua muwazi tu kueleza wap kuna maamrisho ya kibaguzi au ya mambo yanayo endelea sasa...
 
Wanafanya ushoga kwasababu za kidini kama Boko Haram,ISIS/ISIL na makundi mengine yanavyofanya ugaidi kwasababu za kidini?

Usiangalie nani anafanya nn kisha ukasema ndio mafundisho ya dini. Sisi kama waislam tuna reference mbili tu za kuongoza maisha yetu.. Ni maandiko matakatifu ya Qur'an au sunnah(yaan mienendo ya mtume kama kiigizo)..hatuangalii chochote zaidi ya hapo. Sasa kama kuna sehem katika hivyo viwil vime amrisha uchafu huo tuonyeshe hapa. Usiangalie mtu anafanya nn... Concentrate na kinacho elezwa kwenye dini na mafundisho ya mtume.
 
hao jamaa na kagazeti kao,hawatarudia tena
 

Mkuu kuna kitu una contradict hapo...

Kwanza sijui source ya takwim zako kama zina uhakika gani.. Lakin hili lisiwe tatizo kwan ushoga ni tabia na katika fikra za kawaida hamna dini inayo ruhusu ushoga... Kwa iman yangu mm ni haram na ni dhambi kubwa kwa mwanamke kuingiliwa kinyume na maumbile.. Vp kwa mwanaume!?..

Pili, tukitaka kui judge dini tuangalie inaelekeza nn na tusiangalie watu ambao wanajiita wana iman hiyo wanafanya nn. Mtu anaeza fanya jambo ambalo ni kinyume na maamrisho ila wakatafsiri ndio mafundisho yao ktk dini.. Hapana usijudge dini kwa mtiririko huo.. Kwan ukristo haujakataza wizi? Vp hamna wizi ambao dini yao ni ukristo? Je mkristo akiiba ndio tuta judge kua ni maarisho ya dini yao? Sasa iweje scheme hii itumike kwa dini ya kiislam!?

Naomba mola awaongoze mkuu!
 

Inaonekana hujanielewa ....

Ninachokizungumzia hapa sio kitabu cha Quran kinafundisha nini na wala sijasema kwamba hao jamaa wanachokifanya kipo suported na Quran bali ninachokisema hapa ni kwamba hao ISIS na wengine wanafanya hivyo wakidai kwamba wanafanya hivyo kwasababu wanatakiwa kufanya hivyo na Allah

Suala kama wako sahihi au hawako sahihi ni jambo lingine kabisa
 

Kimsingi maelezo yako yanakubaliana na kile ambacho mimi nakisema hapa na hili wanapaswa walisome Waislam wenzako UHURU JR na Kikwajuni One

Sababu za kulaumiwa Uislma nimeshazisema hapa mara mia kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Kimsingi maelezo yako yanakubaliana na kile ambacho mimi nakisema hapa na hili wanapaswa walisome Waislam wenzako UHURU JR na Kikwajuni One

Sababu za kulaumiwa Uislma nimeshazisema hapa mara mia kidogo!

Kwan sababu zako za kulaumiwa uislam n zipi? Naomba link nisome kidogo na mie
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…