Secret and questions behind Charlie Hebdo attack

Secret and questions behind Charlie Hebdo attack

No way near mkuu...hiyo kitu haipo hata kidogo mkuu...au leta fact kwann umepata hizo fikra ili tupanuane mawazo mkuu....leta fikra mkuu!

Kuanzia na ishu ya WTC hadi vita dhidi ya ugaidi na Obama kuyapa fedha makundi ya Kiislam na hayo yamesababisha Uislam kupanuka sana

Hakuna kinachofanywa na serikali ya Marekani kuzuia ISIS na hata pale kwenye kumbukumbu za WTC pamejengwa kama Al Kaaba,unadhani yote haya yametokea bahati mbaya?
 
HIZI HABARI BADO ZINABAKI KUWA UCHAMBUZI WA KUSADIKIKA NA PROPAGANDA YA IRAN NA WAISLAM DHIDI YA MAREKANI MLENGWA MKUU AKIWA NI ISRAEL.
Watu wa kwanza kueneza sumu hii ni raisi wa Iran na Waziri mkuu wa Uturuki(Erdogan)wate wakiwa ni wafadhili wa ugaidi japokua wanaonyesha wawili hawa kutofautiana hasa ktk swala la Asaad,Lakini habari hii haina ushahidi wowote.
Iwe kweli au siyo kweli jambo msingi ni hili
KWANINI UISLAM UNAONYESHA UDHAIFU HADI UNATUMIWA KIASI HIKI?
UPO UDHAIFU KTK UISLAM AMBAO UNAFANYA DINI HII KUTUMIWA KTK UOVU,NA TUSIPOUKIRI,KUUREKEBISHA NA NAKUUTUBIA,KILA SIKU UISLAM UTATUMIWA KTK UOVU.
LAKINI PROPAGANDA HIZI ZA KUTUNGA ZIMETUMIWA SANA NA WAISLAM HASA PALE UOVU WAO UNAPOKUA WAZI.WANAANZA KULIA LIA NA KULAUMU MATAIFA MENGINE KUWATUMIA VIBAYA.
NAKUMBUKA ILE PROGRAM YA WAISLAM YA SATANIZATION OF ISRAEL.
 
HIZI HABARI BADO ZINABAKI KUWA UCHAMBUZI WA KUSADIKIKA NA PROPAGANDA YA IRAN NA WAISLAM DHIDI YA MAREKANI MLENGWA MKUU AKIWA NI ISRAEL.
Watu wa kwanza kueneza sumu hii ni raisi wa Iran na Waziri mkuu wa Uturuki(Erdogan)wate wakiwa ni wafadhili wa ugaidi japokua wanaonyesha wawili hawa kutofautiana hasa ktk swala la Asaad,Lakini habari hii haina ushahidi wowote.
Iwe kweli au siyo kweli jambo msingi ni hili
KWANINI UISLAM UNAONYESHA UDHAIFU HADI UNATUMIWA KIASI HIKI?
UPO UDHAIFU KTK UISLAM AMBAO UNAFANYA DINI HII KUTUMIWA KTK UOVU,NA TUSIPOUKIRI,KUUREKEBISHA NA NAKUUTUBIA,KILA SIKU UISLAM UTATUMIWA KTK UOVU.
LAKINI PROPAGANDA HIZI ZA KUTUNGA ZIMETUMIWA SANA NA WAISLAM HASA PALE UOVU WAO UNAPOKUA WAZI.WANAANZA KULIA LIA NA KULAUMU MATAIFA MENGINE KUWATUMIA VIBAYA.
NAKUMBUKA ILE PROGRAM YA WAISLAM YA SATANIZATION OF ISRAEL.

Uko sahihi.
 
Naomba kuelimishwa kama kuna tofauti kati ya uislamu na ugaidi. Nimesoma na kutafakari sioni ni vipi unaweza kuvitenganisha. Ni ukweli japo kwa wengine unauma
 
naomba kuelimishwa kama kuna tofauti kati ya uislamu na ugaidi. Nimesoma na kutafakari sioni ni vipi unaweza kuvitenganisha. Ni ukweli japo kwa wengine unauma
ndugu yangu hakuna tofauti,narudia kusema hakuna tofauti,magaidi ni yai/tunda la uislam ,japo ukweli unauma na unaweza kuudhi lakini ndio kweli hiyo.
Mtu akibisha hili nitathibitisha hili
 
ndugu yangu hakuna tofauti,narudia kusema hakuna tofauti,magaidi ni yai/tunda la uislam ,japo ukweli unauma na unaweza kuudhi lakini ndio kweli hiyo.
Mtu akibisha hili nitathibitisha hili

Thibitisha basi, unaogopa nini?
 
mada zuri lakini deebo weka kwa ki swahili yaani tafsiri ili watu wapate uelewa zaidi na tusIwe wat umwa wa lugha wa kati ki swahili kipo ni ayo tu mkuu au mnasemaje wadau.!!!
 
mada zuri lakini deebo weka kwa ki swahili yaani tafsiri ili watu wapate uelewa zaidi na tusIwe wat umwa wa lugha wa kati ki swahili kipo ni ayo tu mkuu au mnasemaje wadau.!!!

Nmekuelewa sana mkuu...upo sahihi ila nilichofanya ni ku copy data na kuileta hapa ili nisibadilishe maana au meseji kiini cha habari mkuu...ahsante
 
Naomba kuelimishwa kama kuna tofauti kati ya uislamu na ugaidi. Nimesoma na kutafakari sioni ni vipi unaweza kuvitenganisha. Ni ukweli japo kwa wengine unauma

Mkuu utofauti upo...tena mkubwa sana..ila usiwe judgemental sana kiasi hicho. Uislam ni dini ya amani sema dini hii politically is tied to current issues za mauaji.. Ni siasa tu inayo vuta uislam na ugaidi vionekane ni kitu kimoja..utaweza kuona ni toauti tu pale utapokua na taarifa sahihi na elimu ya dini ya kiislam

Ushauri:

Wakristo, kama majiran wetu na ndugu zetu pia, tunaomba usitangaze habar zisizo sahihi au ambazo umesikia tu. Ongea kitu kwa information sahihi ukiwa na uelewa nacho... Ni vyema tujifunze kama tunataka kujua mambo, tusome au kuuliza mtu mwenye elim sahihi juu ya unachotaka kujua.. Ni hayo tu mkuu
 
ndugu yangu hakuna tofauti,narudia kusema hakuna tofauti,magaidi ni yai/tunda la uislam ,japo ukweli unauma na unaweza kuudhi lakini ndio kweli hiyo.
Mtu akibisha hili nitathibitisha hili

Mkuu nakuomba uthibitishe usemacho naomba hiyo connection ya ugaidi na uislam kwa fact au mafundisho ya dini hii ikielekeza watu kufanya ugaidi?

Note;

Kuna dini alaf kuna watu...akifanya kitu mtu inaweza ikawa ndio mafundisho ya dini au makosa yake( kufanya visivyoelekezwa kwenye dini). Kwaiyo tusiongelee watu ila tuongelee dini na nn inachoelekeza sio watu wanayoyafanya..

Shukran mkuu
 
Kuanzia na ishu ya WTC hadi vita dhidi ya ugaidi na Obama kuyapa fedha makundi ya Kiislam na hayo yamesababisha Uislam kupanuka sana

Hakuna kinachofanywa na serikali ya Marekani kuzuia ISIS na hata pale kwenye kumbukumbu za WTC pamejengwa kama Al Kaaba,unadhani yote haya yametokea bahati mbaya?

Mkuu idea ipo hivi..tuna ongelea dini ya uislam na nn inachoeleza juu ya ugaidi..atusemei watu ambao wanaonekana kua wafuasi wa dini hii.. Dini ipo constant na maamlisho yake ni yale yale miaka yote ila watu wanabadilika na mtu anaeza fanya kitu kama anavyo elezwa kwenye dini au akafanya kitu tofauti.

Sasa kimsingi kabisa sipo hapa kutetea mtu ila nipo kutetea hii dini na maamlisho yake..sasa je kuna sehem katika dini hii wanaeleza kufanya ugaidi au una support ugaidi? Wap kwenye kitabu kitakatifu hii habari hipo?

Sasa kuna usiasa upo hapo! Dini inasema vingine na watu wanafanya vingine tofauti na mafundisho ila mwisho wa siku inaonekana ni tatizo la dini. Hii sio sawa mkuu
 
Maelezo yako bado hayajibu nilichokuuliza .....!!

Najaribu ku connect dotes za kua islam is american project naona zipo tofauti sana...sio kwel ila kinachofanyika ni kua marekani inafanya mambo yake kwa kutumia sura ya uislam...ni kwel kuna baadhi ya waislam wanatumika pia...hili linawezekana lakin sio mafundisho ya dini mkuu...jaribu kutofautisha dini na watu
 
ndugu yangu hakuna tofauti,narudia kusema hakuna tofauti,magaidi ni yai/tunda la uislam ,japo ukweli unauma na unaweza kuudhi lakini ndio kweli hiyo.
Mtu akibisha hili nitathibitisha hili


Proffesional liar.

meaning of terrorism is still debatable according to current context.

don't you see the apparent distinction btn Islam and ugaidi?!...

if true u must be kiding ..n if ur serious u must be biased fanatic.

wen go difference with USA policies.....u r gaid...na hii haikuanza Leo.

kipindi hayati Mandela anapiga vita apartheid called terorist..alikua muisilamu?!..

hii picha waislamu kupewa sura ya ugaidi ilianza baada ya September eleven.
 
Najaribu ku connect dotes za kua islam is american project naona zipo tofauti sana...sio kwel ila kinachofanyika ni kua marekani inafanya mambo yake kwa kutumia sura ya uislam...ni kwel kuna baadhi ya waislam wanatumika pia...hili linawezekana lakin sio mafundisho ya dini mkuu...jaribu kutofautisha dini na watu

Hebi jaribu kutafiti mkuu utaweza kujua tu!
 
Mkuu idea ipo hivi..tuna ongelea dini ya uislam na nn inachoeleza juu ya ugaidi..atusemei watu ambao wanaonekana kua wafuasi wa dini hii.. Dini ipo constant na maamlisho yake ni yale yale miaka yote ila watu wanabadilika na mtu anaeza fanya kitu kama anavyo elezwa kwenye dini au akafanya kitu tofauti.

Sasa kimsingi kabisa sipo hapa kutetea mtu ila nipo kutetea hii dini na maamlisho yake..sasa je kuna sehem katika dini hii wanaeleza kufanya ugaidi au una support ugaidi? Wap kwenye kitabu kitakatifu hii habari hipo?

Sasa kuna usiasa upo hapo! Dini inasema vingine na watu wanafanya vingine tofauti na mafundisho ila mwisho wa siku inaonekana ni tatizo la dini. Hii sio sawa mkuu

Mkuu,

Duniani kama kuna makunci 20 ya kigaidi basi itakuwa 19 ni ya Kiislam na yanasema na kutumia kitabu cha Kiislam kufanya hivyo,kwanini?

Duniani kuna dini nyingi sana,kwanini wajibainishe na dini hiyo?

Sitaki kuingia kwenye mistari inayozungumza kuhusu vurugu kwenye quran kwasababu tutabishana na kupoteza muda tu bure hapa,ninachotaka wewe ujiulize ni kwamba kwanini hao wote wachague Uislam na sio dini nyingine

Pia hakuna hata kundi lolote la Kiislam ambalo limejitokeza hadharani kuwapinga hawa....

Kuna hadi viongozi wa Kiislam huko mashariki ya kati wamekuwa wakihamasisha kuwauwa Wayahudi na wasio kuwa Waislam,kwanini?

Mbona kauli hizi hatuzisikii kutoka kwenye dini nyingine?
 
Naomba kuelimishwa kama kuna tofauti kati ya uislamu na ugaidi. Nimesoma na kutafakari sioni ni vipi unaweza kuvitenganisha. Ni ukweli japo kwa wengine unauma

Mkuu hilo neno Ugaidi hadi leo tafsiri yake bado haijaeleweka. Juzijuzi tu hapa Obama aligusia kidogo tu kuhusu hizi dini kutumika kumwaga damu,basi alianza kushambuliwa na hadi wengine kufikia kusema Obama ni muislamu.
 
ndugu yangu hakuna tofauti,narudia kusema hakuna tofauti,magaidi ni yai/tunda la uislam ,japo ukweli unauma na unaweza kuudhi lakini ndio kweli hiyo.
Mtu akibisha hili nitathibitisha hili

Mkuu hivi nini maana ya neno ugaidi??

Na yale aliyoyaongea Obama juzjuz tu hapa hadi watu wakaanza kumshambulia,Je wewe unayapa nafasi gani yale aliyoyasema Obama,ni ukweli wenye kuuma au?
 
Back
Top Bottom