Second selection vyuo vya afya majina yameshatoka

Second selection vyuo vya afya majina yameshatoka

Dah mkuu ni kweli yametoka humu jukwaani hakuna ambaye amesha pata ya kwake?
 
ambaye n wa inservice aliye selected in 2nd round awathibitishie vijana humu 7bu kuna ambao bado hawaamini.
 
kama we n mlengwa wa second selection ya vyuo vya afya tembelea profile yako...kila lakheri

mkuu_ screen shoot,, profile yako tuone. mbana hamna changezi yoyote , na kama majina yametoka yametoka wapi...!!?
 
Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE?
 
Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE?

hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima.
 
hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima.

Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE
 
Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE

haiwezekani.....
lakini hii tanzania figisufigisu nyingi...hebu jaribu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom