kama we n mlengwa wa second selection ya vyuo vya afya tembelea profile yako...kila lakheri
Kwa sisi tulio apply via TCU au
Deadline ya 2nd round ni 30 september jamani,sa kivipi selection zitoke kabla ya deadline?
acha kuwadanganya wenzio
Kwa ambao deadline tar 22/09 majibu teyar hasa wale wa inservice mambo teyar jaman tembelea profile lako
Na vp kwa walio aplly CO na sio in service vp yametoka?
kama n wa 2nd round we fungua profile yenyewe itajibu lakn wa inservice mambo yana jibu.
endelea kufuatilien via NACTE
unataka kuniambia inservice tayar washatoa ila sis wa kawaid profil ziko vilevile unatak kuniambia sis wa kawaid yatatoka leo pia
yeah endeleeni kufuatilia kwan kuna inservice pia ambao bado wanasubr update info kwenye profile zao.