runtown
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 844
- 1,169
Ni ngumu maana kuna wenye two za mwanzo wameachwaDuh nishakaa sana homecna vyuo vya private vimejaa,kwa matokeo haya naweza kupata kweli
Bios B,Chemistry C,Physics D,Math C na English C nimeomba diploma na certificates Clinical Medicine